mamaafacebook II
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,513
- 3,553
Hayo yote hutekea kwa sababu mbalimbali, mfano wewe Mamafacebook, unauza duka la mumeo kariakoo, ila mumeo ni mwajiliwa sehemu nyingine, yeye anawahi kurudi kabla yako, mfano anarudi saa 14:00 wewe muda huo bado uko dukani hamtahitaji msaidizi nyumbani. Ila mke wangu kama hajui kupika nitampeleka sehemu kujifunza, ila simwachi labda kama sjampenda.



Akiwahi kurudi atajipikia hahaaa
