Mapenzi yanauma jamani

Mapenzi yanauma jamani

Dah. Mkuu kama wewe aisee. Mimi siku 5 zimepita. Sema mi nikaona isiwe shida nikaanzisha Mawasiliano na msamaha nikaomba mimi ingawa sio kosa langu.

Mwisho wa siku we only live once. Maisha mafupi.
Umekwisha atalala na mwingine kama kawaida maana keshajua ushakuwa dhaifu kwake na huna la kumfanya. Mimi nikigundua ameni cheat palepale tunamalizana afuate yake nifuate yangu.
 
Ujue nashindwa kuomba msamaha kwasababu hata sijakosa mm!! Unaombaje msamaha na huna makosa

Kuna relationship wote mnaumizwa na challenge mliyonayo.
Kuna relationship mmoja anaona ni sawa kuwa na challenge hiyo na hata kukupoteza ni fresh tu..

Hii ya kwanza fight for it, mkae sawa!!
Hii ya pili, kula buyu, ikuume ikuepuke!!

Mahusiano yote yana ups and down.
Sio wana mahusiano wote wako tayari kupambana uhusiano ubaki sawa.

Usijiumize zaidi ya kupambana vita uliyokwisha shindwa aseeh!!
 
Jf raha sana ninesoma comments nikaishia kucheka tu nyie ni wapuuzi mtu abaandika ya moyoni.

Of cause haya tunayapitia saba kuna wakati zamani kidogo nilikaza nikasema mungu nipe uvumilivu, sijakosea kokote naomba nisimtafute. Alikosea yeye nikajishusha nikaomba msamaha akakaa kimya na mimi nikameza pini😂

Siku ya kwanza ikapita, ya pili ikapita ya tatu ikapita nikafuta no nikasema potelea mbali siwezi jishusha kwa mara ya pili as ifu mm ndo nina shida.
Siku ya nne nikaona anapiga ahaaaaa nikapokea kama vile sitaki, ilacqsingepiga ingeisha hiyo.

Wapuuzi nyie mmenikumbusha mambo ya zamani yalishapita kitambo.😂😂
Ndio alikutoa bikra ama alikuta njia tayari
 
Mkuu me pia bado nipo kwenye hali kama yako Ila nimepata dem mpya sawa lakn bado akili yangu ipo kwa yule dem yaan cjui kaniloga maana uyu wa saiv kila ninach hitaj ananipa Ila bado cridhiki namtaka yule wa mwanzo japo yeye kuna alivykuw ananinyima huw naomba mungu aje ata aniombe msamaha basi lkn kakaza saiv tuna siku 4
 
Hawa madogo Bwana, mm kanuni yangu lazima niwe na mademu wawili na wote huwa nawapenda the same percent akizingua mmoja na baki na mwingine akikausha hapo anakuwa ameliwa kichwa tayari
 
Nilikuwa naona mafala wanaolia na mapenzi

Nilikuwa naona kama wadhaifu au wana roho za kidada!!

Sasa mgumu yamenikuta. Juzi nimemfuma mpenzi na namba za jamaa kicheche sana hapa mtaani!!

Na nilishasikiaga kama jamaa kapga mademu wote akiwemo huyu mpenzi wangu!!! Nikajua tetesi tu

Tulivoingia kwene mahusiano kanihakikishia niko mwenyewe kwanza mi ndo mpenzi wake wa pili!!

Eeh juzi nimeshika simu yake nikakuta namba imeandikwa jina la yule jamaa nikasala kumuuliza akapanik tukazinguana.

Kila mtu kaenda kivyake!!

Wiki sasa imepta sijamtafuta nimefuta na namba zake !!

Ila naumia aisee !! Kuna namna kanizoesha nai nai ambazo ckua nimezoea!! Sasa najaribu kujiweka busy namsahau sekunde nikikumbuka naaaumia!!! Stress
Kaa zote

Kuna muda nataman anitafute aniombe msamaha yaishe!! ila ndo hivo kanilia buyu

Aisee hamna mgumu mapenzi yanauma
Pole mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom