Duh!..Mwez wa 4 huu naishi kishujaa moyo upo vitan😆sio kama usipoandika ndio utaonekana mwamba .
Linapokuja swala la mapenzi sisi sote ni wamoja tu.
Napita kwenye situation kama yako mzee
Tumepishana muda tu
Me naenda wiki ya pili hi![]()
Duh!..Mwez wa 4 huu naishi kishujaa moyo upo vitan😆sio kama usipoandika ndio utaonekana mwamba .
Linapokuja swala la mapenzi sisi sote ni wamoja tu.
Napita kwenye situation kama yako mzee
Tumepishana muda tu
Me naenda wiki ya pili hi![]()
😂😂😂Naogopa ataniumiza zaid ataona kama mm ndo nimedoda!!
Shida nna kiburi fulan cha ukooo
Amenichekesha sana daah
Mimi pia kwa kweli 😂Amenichekesha sana daah
nicheke kwanza maana wengine tukiandikaga humu tunaonekana maboya haya Sasa umeshikwa panapostahili kushikwa na bado utanyooshwa Bata wewe.. watu wamafumania kabisa we unashika namba tu kelele nyingi hivi!! Tulia wakuchezeshe ngoma ya lidende..
![]()
mseleleko
Duh!..Mwez wa 4 huu naishi kishujaa moyo upo vitan![]()
1.Epuka kudate na pisi kali zaidj yaani tafuta demu wa kawaida,
2.epuka kusikilizia Sana,ile kitu muda mwingine sex aombe yeye.wengine hushindwa kumtamkia mwanamume ila wewe tengeneza mazingira ili mradi aanze yeye
3.kuwa busy siyo unamtext kila muda mara video call huko wasapu .wakati mwingine subiri akutafute
4.Usikurupuke tengeneza mazingira ya kupendwa na siyo kupenda hapa panawasumbua wengi mno
5.Kuwa mwenye mikato mwanamume wa kweli hawi muongeaji
6.Mpe Hela,mpe pesa,Naaam! Mpatie vitu anavyopendelea![]()
Hela!? Hela? Endelea kujidanganya!!
Nakuambia hivi endelea kujidanganya
Pesa inakupa outer cover ya maisha yako,
Ila ukirudi kwenye hali yako wewe ndio utajua hakuna thamani.
Utanunua magari mazuri,
Utanunua ndege,
Utanunua kila kitu
Ila kunawakati utalala kichwa na akili vitatulia ndio utajua bado kua na mtu unae m feel na yeye akakufeel ni issue nyingine kabisa
Yuko sahihi kbs hata mm nimemwelewa sanaUlichofanya mkuu nitiba tosha kwako japo kunawatu watazan ni ulimbuken ila binafsi nimekuelewa
Acha kumtonesha kidonda mkuu...Yan mesoma comments zako kwnye hii thread
Unaongea kwa hisia sana mpka bas
Inaonekana ulimpenda sana uyo dada
Pole sana mkuu.
Yan mesoma comments zako kwnye hii thread
Unaongea kwa hisia sana mpka bas
Inaonekana ulimpenda sana uyo dada
Pole sana mkuu.
Subiri uone utakavyoendeshwa bwege weweDah. Mkuu kama wewe aisee. Mimi siku 5 zimepita. Sema mi nikaona isiwe shida nikaanzisha Mawasiliano na msamaha nikaomba mimi ingawa sio kosa langu.
Mwisho wa siku we only live once. Maisha mafupi.
Ulichofanya mkuu nitiba tosha kwako japo kunawatu watazan ni ulimbuken ila binafsi nimekuelewa
Acha kumtonesha kidonda mkuu...

Acha kumtonesha kidonda mkuu...
Nakosa namna ya kuelezea mambo.....
Nadhan ukiwa na mahusiano na wanawake wengi inasaidia(japo hili hua Siwezi)
Kwasababu hata maendeleo hutayaona.
Wengine wanakuja na option ya fedha....nnawashangaa sana ,pesa na mapenzi havilandani
Ila pesa ni maisha na mapenzi yapo ndani ya maisha ,
Kwa namna yoyote ile lazima fedha ihusike
Ila mapenzi nikitu kingine kabisaaaaaa
[mention]Darlin [/mention] kama kuna mtu anakupenda ...na unampenda
Shikilia sana hiyo
Kuna raha sana kwenye upendo
Mebidi nimquote mana wanaume wengi wa huku JamiiForums wanajikuta nunda. Wao ni tafuta pesa, tafuta pesa.
Aahh it’s true ila amna kitu tunaweza kufanya kama upendo umeisha.
Jus move on, huwez jua umeepushiwa nini.
Pole lakin utapona tu na utasahau mkuu.
Hahahah kweli mkipata mnafanana upendo una raha sana mkuu.