Mapenzi yanauma jamani

Nilikuwa naona mafala wanaolia na mapenzi

Nilikuwa naona kama wadhaifu au wana roho za kidada!!

Sasa mgumu yamenikuta. Juzi nimemfuma mpenzi na namba za jamaa kicheche sana hapa mtaani!!

Na nilishasikiaga kama jamaa kapga mademu wote akiwemo huyu mpenzi wangu!!! Nikajua tetesi tu

Tulivoingia kwene mahusiano kanihakikishia niko mwenyewe kwanza mi ndo mpenzi wake wa pili!!

Eeh juzi nimeshika simu yake nikakuta namba imeandikwa jina la yule jamaa nikasala kumuuliza akapanik tukazinguana.

Kila mtu kaenda kivyake!!

Wiki sasa imepta sijamtafuta nimefuta na namba zake !!

Ila naumia aisee !! Kuna namna kanizoesha nai nai ambazo ckua nimezoea!! Sasa najaribu kujiweka busy namsahau sekunde nikikumbuka naaaumia!!! Stress
Kaa zote

Kuna muda nataman anitafute aniombe msamaha yaishe!! ila ndo hivo kanilia buyu

Aisee hamna mgumu mapenzi yanauma
Pole Sana Mkuu...Vuta Subira
 
Ujue nashindwa kuomba msamaha kwasababu hata sijakosa mm!! Unaombaje msamaha na huna makosa
Ndo maana unashauriwa kuwa na mwingine wa pembeni kama spare, ili huyu akizingua basi faster mwamba unahamia another side.
 
My Experience
Na declare interest huyu baby mama wangu ninampenda sana. Mwanzoni wa uhusiano wetu tulikuwa tukizinguana hata kama yeye ndio mwenye makosa nilikuwa naomba msamaha mimi. Yeye kuomba msahama ni mzito kweli.
Basi Mungu sio athumani akapata ujauzito. Kama kumjali ndio nilizidisha mara 100. Yaan hapa sikutaka hata kugombana naye kabisa kidogo tu nisamehe hivyo.
Mtoto kazaliwa copy yangu. Ila sijui inatokea nini mwanamke akipata mtoto wako, kibao kimegeuka yaan kwanza hata kama nimezingua na najua nimezingua nakaza yeye ndio anaomba msamaha. Naomba msamaha pale tu ninapoamua kuomba msamaha. Nimemjengea kuwa nampenda ila akizingua tu naweza sepa vilevile.
Hapo hana ujanja umeshamzalisha. Value sokoni imeshashuka
 
Unafuta namba za manzi yako wakat umezikariri kichwani..😁 usiogope bro hapo ndo unakomaa ukitaka demu wa peke yko kata mgomba lala juu hutakaa uumie kabisa

by the way tafuta hela hakuna mwananke anayekimbilia six packs mbele ya six cars
 
Nilikuwa naona mafala wanaolia na mapenzi

Nilikuwa naona kama wadhaifu au wana roho za kidada!!

Sasa mgumu yamenikuta. Juzi nimemfuma mpenzi na namba za jamaa kicheche sana hapa mtaani!!

Na nilishasikiaga kama jamaa kapga mademu wote akiwemo huyu mpenzi wangu!!! Nikajua tetesi tu

Tulivoingia kwene mahusiano kanihakikishia niko mwenyewe kwanza mi ndo mpenzi wake wa pili!!

Eeh juzi nimeshika simu yake nikakuta namba imeandikwa jina la yule jamaa nikasala kumuuliza akapanik tukazinguana.

Kila mtu kaenda kivyake!!

Wiki sasa imepta sijamtafuta nimefuta na namba zake !!

Ila naumia aisee !! Kuna namna kanizoesha nai nai ambazo ckua nimezoea!! Sasa najaribu kujiweka busy namsahau sekunde nikikumbuka naaaumia!!! Stress
Kaa zote

Kuna muda nataman anitafute aniombe msamaha yaishe!! ila ndo hivo kanilia buyu

Aisee hamna mgumu mapenzi yanauma
Yesu anakuhitaji, acha uovu huo
 
Ukimtafuta ww utapungukiwa nini?? Inaonekana wewe ndie mwenye uhitaji zaidi yake kwa sasa.

We mcheki tu yaishe, ila amini amini nakwambia mwanangu itafika time yeye ndo atakua anakuhitaji zaidi kuliko wewe utavyomuhitaji.

Wanaume ni 100%->0%
Wanawake ni. 0%->100%
 
JamiiForums-1540357638.jpg
FB_IMG_16281100266908909.jpg
 
Dah. Mkuu kama wewe aisee. Mimi siku 5 zimepita. Sema mi nikaona isiwe shida nikaanzisha Mawasiliano na msamaha nikaomba mimi ingawa sio kosa langu.

Mwisho wa siku we only live once. Maisha mafupi.
Mimi pia nimeshaomba sana msamaha na kosa ni la kwake. Saiv ni mke wangu ujinga huo nimeacha kabisa
 
Maskini ndio wanaoteseka zaidi na mapenzi. Unakadem kako kazurii umekapata bila shida afukamekukubali kwa hali yako hiyo hiyo. Sasa mkizinguana nako lazma utapitia stress kwasababu unawaza kupata kama huyo tena ni ngumu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom