kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 10,388
- 17,097
Ujue nashindwa kuomba msamaha kwasababu hata sijakosa mm!! Unaombaje msamaha na huna makosa
Mkuu
Mapenzi ni upendo baina ya watu wawili
Ikiwa mwenzio ameshaona kasoro yako na ameona hawezi kuibeba akaamua kukutaftia sababu,ukilazimisha utakuja kulia Brothr
Me nlishakuta hadi txt akiongea na jamaa hivii
Na tulikaa chini tukayajenga
Ila kila mala nikiwaza ile situation moyo unapasuka kabisa
Hela kiasi nampa
Muda nampa
Kifupi nilikua napigana na uhalisia wa mambo
Ila lilikua linanitafuna
Na alikua single mother
Mwisho wa siku nikaona Hapana ngoja niache tu....coz nnapigana na wanaume wawili pekeangu .
Nkawaza tu haya yote kwanini yani
Mala nyingi mwanamke akisha kua na mahusiano mengiene huanza kukupuuza wewe
Jipe muda,fanya kazi ,jipende mwenyewe
Ila kuna muda nnammsi sana










By the way kua single raha sana


Now sms ikiingia notifications zipo on yaan naisomea nje tu huku simu ikiwa locked yan fresh tu




