kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 10,388
- 17,098
@Kelphin kepo upo iringa
No hapana
@Kelphin kepo upo iringa
post kama hii mtu anabonyeza emoj ya kucheka 😂 sio vizurisio kama usipoandika ndio utaonekana mwamba .
Linapokuja swala la mapenzi sisi sote ni wamoja tu.
Napita kwenye situation kama yako mzee
Tumepishana muda tu
Me naenda wiki ya pili hi![]()
Anayetandika kitanda hukilalia.Dah. Mkuu kama wewe aisee. Mimi siku 5 zimepita. Sema mi nikaona isiwe shida nikaanzisha Mawasiliano na msamaha nikaomba mimi ingawa sio kosa langu.
Mwisho wa siku we only live once. Maisha mafupi.
Uachane na stress usizokuwa na Authority nazo.Alafu
Hahaha tendo linaloitwa mausiano ni changamoto sana na inategemea na ulio nae ana changamoto zipi na umempenda vipi, me binafsi naona msamaha ni kama fimbo inayomkumbusha mtu aripo kosea kweri mapenzi yanauma Ila sometimes sisi hatuko ndani ya mapenzi ya kweri tunaendeshwa na tamaa za mwili ila tuko kwenye mapenzi jina ambayo tunategemea sifa toka Kwa watu.Umekwisha atalala na mwingine kama kawaida maana keshajua ushakuwa dhaifu kwake na huna la kumfanya. Mimi nikigundua ameni cheat palepale tunamalizana afuate yake nifuate yangu.
Mkuu hapo kwenye "kila ninachohitaji ananipa?". Nini hicho unapewa ugenini ambavyo ulikua unanyimwa na ex?Mkuu me pia bado nipo kwenye hali kama yako Ila nimepata dem mpya sawa lakn bado akili yangu ipo kwa yule dem yaan cjui kaniloga maana uyu wa saiv kila ninach hitaj ananipa Ila bado cridhiki namtaka yule wa mwanzo japo yeye kuna alivykuw ananinyima huw naomba mungu aje ata aniombe msamaha basi lkn kakaza saiv tuna siku 4
Ni wazi unampenda kuliko anavyo kupenda, na akigundua huu udhaifu ndio atatumia kama fimbo. It's obvious wanaume tupaswa kujitahidi kuficha udhaifu wetu ili mambo yaende. Km ume-prove ana cheat, una uhakika gani hata akirudi hatakucheat tena? Au utakuwa umeshazoea maumivu?Nilikuwa naona mafala wanaolia na mapenzi
Nilikuwa naona kama wadhaifu au wana roho za kidada!!
Sasa mgumu yamenikuta. Juzi nimemfuma mpenzi na namba za jamaa kicheche sana hapa mtaani!!
Na nilishasikiaga kama jamaa kapga mademu wote akiwemo huyu mpenzi wangu!!! Nikajua tetesi tu
Tulivoingia kwene mahusiano kanihakikishia niko mwenyewe kwanza mi ndo mpenzi wake wa pili!!
Eeh juzi nimeshika simu yake nikakuta namba imeandikwa jina la yule jamaa nikasala kumuuliza akapanik tukazinguana.
Kila mtu kaenda kivyake!!
Wiki sasa imepta sijamtafuta nimefuta na namba zake !!
Ila naumia aisee !! Kuna namna kanizoesha nai nai ambazo ckua nimezoea!! Sasa najaribu kujiweka busy namsahau sekunde nikikumbuka naaaumia!!! Stress
Kaa zote
Kuna muda nataman anitafute aniombe msamaha yaishe!!ila ndo hivo kanilia buyu
Aisee hamna mgumu mapenzi yanauma![]()
Manzi akinikimbia sababu sina hela siwazi hta kidogoUwe huna pesa af demu akukimbie kwa kuwa huna hela inauma zaidi ya konz la kende![]()
Yani nimesoma comments nimeamini vijana wa kiume wanateswa sana na mapenzi/mahusiano.
Pole sana mkuu ila mapenzi yanauma sana.
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Nafikiri huu ni moja wa udhaifu mkubwa sanaaa kuwahi kutokea duniani.Ujue nashindwa kuomba msamaha kwasababu hata sijakosa mm!! Unaombaje msamaha na huna makosa
post kama hii mtu anabonyeza emoj ya kuchekasio vizuri




Kwahyo na wew unacheka 


Mkuu hapo kwenye "kila ninachohitaji ananipa?". Nini hicho unapewa ugenini ambavyo ulikua unanyimwa na ex?
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app



jamaa itakuwa mshenzi mshenziSasa anajua hana pa kwendaMy Experience
Na declare interest huyu baby mama wangu ninampenda sana. Mwanzoni wa uhusiano wetu tulikuwa tukizinguana hata kama yeye ndio mwenye makosa nilikuwa naomba msamaha mimi. Yeye kuomba msahama ni mzito kweli.
Basi Mungu sio athumani akapata ujauzito. Kama kumjali ndio nilizidisha mara 100. Yaan hapa sikutaka hata kugombana naye kabisa kidogo tu nisamehe hivyo.
Mtoto kazaliwa copy yangu. Ila sijui inatokea nini mwanamke akipata mtoto wako, kibao kimegeuka yaan kwanza hata kama nimezingua na najua nimezingua nakaza yeye ndio anaomba msamaha. Naomba msamaha pale tu ninapoamua kuomba msamaha. Nimemjengea kuwa nampenda ila akizingua tu naweza sepa vilevile.

Kiburi cha ukoo kama kiburi cha ukooNaogopa ataniumiza zaid ataona kama mm ndo nimedoda!!
Shida nna kiburi fulan cha ukooo
Ha ha ha ha DahTulia dawa ikuingie