Mapenzi yanauma jamani

Mapenzi yanauma jamani

Yeah kuna muda unaeza kuwa mgumu sana ila kuumia hakuepukiki hasa ile hali ya kuliana buyu huwa inauma sana tu lakini ukijiweka busy sana na ufute namba yake na kuhakikisha haumuoni sehemu yeyote wiki moja tu unamsahau mazima
 
Sio nlikamatwa
Ila n kwakua hua sipendelei kua na mtu zaidi ya mmja
Namaanisha ulimpenda...ndio mana ulivyoyumbishwa kidogo tu uliyumba kikweli kweli. Alafu kama mtu hujampenda kweli na akawa analeta mapicha picha unaumia vipi sasa yule ulimpenda yaani ulikamatika.
 
Namaanisha ulimpenda...ndio mana ulivyoyumbishwa kidogo tu uliyumba kikweli kweli. Alafu kama mtu hujampenda kweli na akawa analeta mapicha picha unaumia vipi sasa yule ulimpenda yaani ulikamatika.

Normal sio completely kama hivyo
Sababu siwez kumpenda single m wakat najua kabisa
 
Mpe Hela,mpe pesa,Naaam! Mpatie vitu anavyopendelea

That's the point..
Ukitimiza hili,, hayo uliyoongea juu yataenda kirahisi sana...

Ukweli ni Siku zote kwenye mapenzi make sure wewe ndio Dereva...uwe na uwezo wa kuamua brake utapiga wapi,, na wapi utasimama...
ni muhimu kujua kupindua meza..
Otherwise lazima ulie...
 
Nilikuwa naona mafala wanaolia na mapenzi

Nilikuwa naona kama wadhaifu au wana roho za kidada!!

Sasa mgumu yamenikuta. Juzi nimemfuma mpenzi na namba za jamaa kicheche sana hapa mtaani!!

Na nilishasikiaga kama jamaa kapga mademu wote akiwemo huyu mpenzi wangu!!! Nikajua tetesi tu

Tulivoingia kwene mahusiano kanihakikishia niko mwenyewe kwanza mi ndo mpenzi wake wa pili!!

Eeh juzi nimeshika simu yake nikakuta namba imeandikwa jina la yule jamaa nikasala kumuuliza akapanik tukazinguana.

Kila mtu kaenda kivyake!!

Wiki sasa imepta sijamtafuta nimefuta na namba zake !!

Ila naumia aisee !! Kuna namna kanizoesha nai nai ambazo ckua nimezoea!! Sasa najaribu kujiweka busy namsahau sekunde nikikumbuka naaaumia!!! Stress
Kaa zote

Kuna muda nataman anitafute aniombe msamaha yaishe!! ila ndo hivo kanilia buyu

Aisee hamna mgumu mapenzi yanauma
Pole mzee, sema next time usimsusie demu we pambania Kombe hadi akae kwa line, ona sasa umekuwa single mwenzio huyo anaenda kwa mwingine

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Dah. Mkuu kama wewe aisee. Mimi siku 5 zimepita. Sema mi nikaona isiwe shida nikaanzisha Mawasiliano na msamaha nikaomba mimi ingawa sio kosa langu.

Mwisho wa siku we only live once. Maisha mafupi.
Mwanaume kaumbwa kupenda, so big up! Kwa kupambania penzi lako

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Basi mimi ni mtu wa ajabu

Maana pale tu mwanamke anaponisaliti nachowaza sio misamaha wala kukaa chini kuzungumzia

Nachowazaga ni kuachana tu

Sijawahi kuwaza hata km naweza siku kukaa chini na mwanamke kujadili usaliti wake..

Najiuliza hata km mb** itasimama nikilala na mwanamke msaliti ili hali najua kabisa
 
1.Epuka kudate na pisi kali zaidj yaani tafuta demu wa kawaida,

2.epuka kusikilizia Sana,ile kitu muda mwingine sex aombe yeye.wengine hushindwa kumtamkia mwanamume ila wewe tengeneza mazingira ili mradi aanze yeye

3.kuwa busy siyo unamtext kila muda mara video call huko wasapu .wakati mwingine subiri akutafute

4.Usikurupuke tengeneza mazingira ya kupendwa na siyo kupenda hapa panawasumbua wengi mno

5.Kuwa mwenye mikato mwanamume wa kweli hawi muongeaji

6.Mpe Hela,mpe pesa,Naaam! Mpatie vitu anavyopendelea
hiyo point namba 6, wanawake wengi skuiz ndo zao. Sasa hapo mnakuwa hamna tofauti na wale wauza ngono na wanunua ngono. (Heri wao hawana stress za mapenzi.)
 
Nilikuwa naona mafala wanaolia na mapenzi

Nilikuwa naona kama wadhaifu au wana roho za kidada!!

Sasa mgumu yamenikuta. Juzi nimemfuma mpenzi na namba za jamaa kicheche sana hapa mtaani!!

Na nilishasikiaga kama jamaa kapga mademu wote akiwemo huyu mpenzi wangu!!! Nikajua tetesi tu

Tulivoingia kwene mahusiano kanihakikishia niko mwenyewe kwanza mi ndo mpenzi wake wa pili!!

Eeh juzi nimeshika simu yake nikakuta namba imeandikwa jina la yule jamaa nikasala kumuuliza akapanik tukazinguana.

Kila mtu kaenda kivyake!!

Wiki sasa imepta sijamtafuta nimefuta na namba zake !!

Ila naumia aisee !! Kuna namna kanizoesha nai nai ambazo ckua nimezoea!! Sasa najaribu kujiweka busy namsahau sekunde nikikumbuka naaaumia!!! Stress
Kaa zote

Kuna muda nataman anitafute aniombe msamaha yaishe!! ila ndo hivo kanilia buyu

Aisee hamna mgumu mapenzi yanauma
Hahah pole mzee aya makitu yanauma aisee ata uwe kicheche aje lkn unaempenda aki shake lazima usheki na ww
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom