Mapenzi yanauma jamani

Mapenzi yanauma jamani

Jf raha sana ninesoma comments nikaishia kucheka tu nyie ni wapuuzi mtu abaandika ya moyoni.

Of cause haya tunayapitia saba kuna wakati zamani kidogo nilikaza nikasema mungu nipe uvumilivu, sijakosea kokote naomba nisimtafute. Alikosea yeye nikajishusha nikaomba msamaha akakaa kimya na mimi nikameza pini😂

Siku ya kwanza ikapita, ya pili ikapita ya tatu ikapita nikafuta no nikasema potelea mbali siwezi jishusha kwa mara ya pili as ifu mm ndo nina shida.
Siku ya nne nikaona anapiga ahaaaaa nikapokea kama vile sitaki, ilacqsingepiga ingeisha hiyo.

Wapuuzi nyie mmenikumbusha mambo ya zamani yalishapita kitambo.😂😂
 
1.Epuka kudate na pisi kali zaidj yaani tafuta demu wa kawaida,

2.epuka kusikilizia Sana,ile kitu muda mwingine sex aombe yeye.wengine hushindwa kumtamkia mwanamume ila wewe tengeneza mazingira ili mradi aanze yeye

3.kuwa busy siyo unamtext kila muda mara video call huko wasapu .wakati mwingine subiri akutafute

4.Usikurupuke tengeneza mazingira ya kupendwa na siyo kupenda hapa panawasumbua wengi mno

5.Kuwa mwenye mikato mwanamume wa kweli hawi muongeaji

6.Mpe Hela,mpe pesa,Naaam! Mpatie vitu anavyopendelea
Haya mambo hayana fomyula hata kidogo kwa sababu Homo Sapiens ni kiumbe mtata mno. Mimi naamini kuchapiwa kuko palepale ndo maana na mimi mpenzi (siyo mke) wa mtu akijichanganya namkanyaga tu...

#KuchapiwaHakuepukiki
#KitandaHakizaiHaramu
#Kuchapiwanisiriyandani
 
Hiyo ndio Pandora box
Ni Moja kati ya ngano za wagiriki wa kale wakielezea jinsi Dunia ilikua sehemu nzuri ya kuishi na hakukuwa na mabaya watu waliishii Kama paradiso Sasa huyo Mwanaume mtunzaji wa Hilo sanduku akanogewa na penzi na kumpa zawadi mwanamke mmoja mrembo apate kutunza Hilo box masharti yake ilikua marufuku kufungua ila kutokana na ukaidi wa mwanamke na Ile roho ya ufukunyuku akalifingua Kwa Siri kumbe ndani zilifungiwa roho za uovu
Ndio hapo sasa Hao wakulungwa wanatoka na kuiletea Dunia balaa!

Hii Hadith inafanana na ya
Adamu & Eve pale Eden eve kula tunda alilokataziwa kimasikhara kimasikhara!
Ahsante kwa ufafanuzi
 
Nilikuwa naona mafala wanaolia na mapenzi

Nilikuwa naona kama wadhaifu au wana roho za kidada!!

Sasa mgumu yamenikuta
Juzi nimemfuma mpenzi na namba za jamaa kitombiii sana hapq mtaani!!

Na nilishasikiaga kama jamaa kapga mademu wote akiwemo huyu mpenzi wangu!!! Nikajua tetesi tu

Tulivoingia kwene mahusiano kanihakikishia niko mwenyewe kwanza mi ndo mpenzi wake wa pili!!

Eeh juzi nimeshika simu yake nikakuta namba imeandikwa jina la yule jamaa nikasala kumuuliza akapanik tukazinguana.

Kila mtu kaenda kivyake!!

Wiki sasa imepta sijamtafuta nimefuta na namba zake !!

Ila naumia aisee !! Kuna namna kanizoesha nai nai ambazo ckua nimezoea!! Sasa najaribu kujiweka busy namsahau sekunde nikikumbuka naaaumia!!! Stress
Kaa zote

Kuna muda nataman anitafute aniombe msamaha yaishe!! ila ndo hivo kanilia buyu

Aisee hamna mgumu mapenzi yanauma
Chutama
 
Me ndo maana nliona bora nijiunge chama la watendaji na sio ili chama la kulia lia......hapa nmetoka mchapia kidume mwenzang dem wake ambae ni ex wang.....namsaidia majukumu maana yupo mbali na anamtolea mahali.mapenzi konyo
"Muoshwa huoshwa"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom