asrams
JF-Expert Member
- Sep 4, 2011
- 4,798
- 2,657
Naunga mkono hoja Mkuu.Ukishaanza kupambana na viongozi wa dini tu,kwa kuambiwa tubu,ukashupaza shingo elewa tu hio ni menemene !!! teke !!! leki,utawala wako unaanguka.
Naunga mkono hoja Mkuu.Ukishaanza kupambana na viongozi wa dini tu,kwa kuambiwa tubu,ukashupaza shingo elewa tu hio ni menemene !!! teke !!! leki,utawala wako unaanguka.
Huyu jamaa kumbe mtutsi ! Aisee justification ya kagame kutumia ukabila ishafeli hapo anatafuta nyungine ili aingie front. Ila kazima ujue nyuma kuna naniSio ya kudharau maana tycoon...tajiri sana mwenye ushawishi mkubwa sana Rwanda na jamii ya kimataifa Russesabagina amesema na yeye anawafund jamaa.
Hii ishu ni kubwa maana ni vita ya Watusi kwa Watusi na sio wahutu na Watusi tena...wote wana mkwanja na wote wana hasira.
I'm enjoying the show as usual...Let the rumble Begin.
Hamuli ni nini ?Mbuzi tu kasoro hamuli majani
Mkuu Osama alikuwa CIA na ilipofika alikufa sembuse MI ya Uganda...Uganda my foot mkuu omba isitokee lakini si kutoa CV yake haisadiiMkuu unajua huyo mtu ninayekwambia amekua ni CMI(Chief of Military intelligence) wa Uganda wkt yeye hakua Mganda na amekua muasi huko porini miaka ya kutosha anajua vita vya porini vinapiganajwe sidhani kama anaweza kufanya kosa hilo.
Anyway ngoja tuone itakavyokua lolote linawezekana tu boss.
Umeandika tanzia kabisa hahaaasKwaheri kagame
Atakapoivamia Burundi kijeshi itakuwa beginning of ending dunia ya leo si ile tena...Mkuu mi nilifanya kazi na co. Ya wakenya huko Kigali napajua vilivyo na washkaji wa Bongo wako huko kibao na ninafuatilia habari zake ipasavyo hayo yanayoandikwa na hizo media hakuna la ukweli hata 1.Hao Rwanda wako bize kujiaandaa na ujio wa rais wa Mozambique kesho mkuu.
Sanasana upande wa Burundi ndo wameanza kulalamika kwamba PK anafanya hio michezo ili apate sababu ya kuivamia Burundi,ulijua ni kwanini majuzi PK alikua anafanya mazungumzo na urusi kupata ile S 200?Kazi imeanza mkuu.
Mwanaume huwa hakai kimya Bali hurudi nyuma na kupanga mashambulizi....ivi nyinyi mnaopiga kelele nyuma ya keyboard mbona wakati Muroto anatangaza kipigo cha mbwa koko hamkutoka nje?
wanaume mnalalama tu, mnaona wanaume wenzenu hao ,wametoka Kwenye camera, lakini wabongo kutwa majungu mara ooh jiwe mara lumumba.
jitoeni kimasomaso
jiwe atatia mkono kumsaidia... tusubiri kuskia walindaamani kutoka TZ wauuwa na waasi wasiojulikana"Mapambano makali yanaendelea Kusini Magharibi mwa Rwanda kati ya vikosi vya waasi na vile vya majeshi ya Serikali katili na dhalimu ya Rais Meja Jenerali Paul Kagame, raia wengi wa Rwanda wanaendelea kukimbilia nchini Burundi. Haijajulikana bado hao waasi wanaongozwa na nani.
Lakini inahisiwa ni Jenerali Faustin Kayumba Nyamwasa ambaye iimeripotiwa kuungwa mkono na Ufaransa na Rais Pierre Nkurunziza ambaye amepania kumwondoa Rais Paul Kagame madarakani kabla hajaingia vitani nchini Burundi kwa mgongo wa waasi wanaiopinga serikali yake. Mpaka sasa inaelekea Kagame amekaa kimya, hajautangazia ulimwengu kuwa nchi yake imevamiwa na waasi.
Mkoa wote wa Kusini Magharibi karibu umetekwa na waasi na barabara zinazotoka Mkoani humo kuelekea Kigali zimefungwa na waasi".
*C & P*
Kuna ukweli humu?
Hebu tufahamishane waungwana wa JF.
Bazazi Ubazazini Akibazazi
=======
Mapambano makali yanaendelea Kusini Magharibi mwa Rwanda kati ya vikosi vya waasi na vile vya majeshi ya Serikali katili na dhalimu ya Rais Meja Jenerali Paul Kagame, raia wengi wa Rwanda wanaendelea kukimbilia nchini Burundi.
Haijajulikana bado hao waasi wanaongozwa na nani. Lakini inahisiwa ni Jenerali Faustin Kayumba Nyamwasa ambaye iimeripotiwa kuungwa mkono na Ufaransa na Rais Pierre Nkurunziza ambaye amepania kumwondoa Rais Paul Kagame madarakani kabla hajaingia vitani nchini Burundi kwa mgongo wa waasi wanaiopinga serikali yake.
Mpaka sasa inaelekea Kagame amekaa kimya, hajautangazia ulimwengu kuwa nchi yake imevamiwa na waasi. Mkoa wote wa Kusini Magharibi karibu umetekwa na waasi na barabara zinazotoka Mkoani humo kuelekea Kigali zimefungwa na waasi.
uswahiba wa kimaslahi ile.Inakuwaje hatujatangaziwa kwamba mkoa wetu upo matatani? Au huu uswahiba ni magumashi?
pamoja na wewe mbuzi mweusi🙁🙁😎Waafrika ni mbuzi wanaoishi kama wanadamu katika uso wa dunia
Tuko JKT tunanolewa na kufundishwa kushika binduki soon utaona matokeo.ivi nyinyi mnaopiga kelele nyuma ya keyboard mbona wakati Muroto anatangaza kipigo cha mbwa koko hamkutoka nje?
wanaume mnalalama tu, mnaona wanaume wenzenu hao ,wametoka Kwenye camera, lakini wabongo kutwa majungu mara ooh jiwe mara lumumba.
jitoeni kimasomaso
tunasubiri kuskia walindaamani kutoka TZ wauawa nawaasi wasiojulikana.. utajiuliza tu walienda kwa kagame kufanya niniRole mode wetu ananyolewa
Umeshawahi kuona mbwa akimdhuru anayempa chakula...!!?Tuko JKT tunanolewa na kufundishwa kushika binduki soon utaona matokeo.
huyo kilaza genta akija kwenye uzi huu lazima atajifanya anajua sana mambo nyeti ya idara ya usalama ya rwanda au tanzania. subiri uone.Jestkilla uzi unakuhusu huu wewe na kaka yako GENTAMYCINE
Haelewi maana ya jkt,ni wa kuhurumia huyu.Umeshawahi kuona mbwa akimdhuru anayempa chakula...!!?
Nyani ni wewe na family yakoSisi waafrika hatuna hadhi ya kuitwa binadamu,sisi ni manyani
nimeongea na ndugu zangu wanaokaa maeneo hayo they are fine na wanashangaa hizi habari... anyway Ngoja Niendelee kuangalia hili pichaInterahamwe na genocide perpetrators mnahangaika sana kutafuta sympathy na attention waambieni mnaowadanganya ni maeneo gani mliyoyateka? Sio kudai magharibi ya nchi!