misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 17,652
- 14,304
Ngumu sana..wanapima kina kirefu kwa mti na ndio kwanza kama ni uncle(Diane) yake anataka kufanya mapinduzi dhidi ya utawala wa Kagame ili hamuokoe mpwa wake.Ah kikishanuka kikakolea harufu mkuu lazima atoke lupango bila shida
Sankala akifeli tu basi binti atakuwa matatizoni sana mkuu. Maana jamaa ana masihara kama akikujua msaliti.
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app