Mapambano makali yanaendelea Kusini Magharibi mwa Rwanda

Mapambano makali yanaendelea Kusini Magharibi mwa Rwanda

Wazungu wanatuangalia tuuu, sasa wakiamua kuwavuruga wanawavuruga kisawa sawa. Kagame alijifanya mjanja sana alimkamata yule Dada Dienne Rwigalla, watu wengi walimuonya sana, yeye akajifanya ametokea msituni hakuna wa kumbabaisha, mwacha ausome namba
 
ivi nyinyi mnaopiga kelele nyuma ya keyboard mbona wakati Muroto anatangaza kipigo cha mbwa koko hamkutoka nje?
wanaume mnalalama tu, mnaona wanaume wenzenu hao ,wametoka Kwenye camera, lakini wabongo kutwa majungu mara ooh jiwe mara lumumba.
jitoeni kimasomaso
 
Vita sasa havina maana,ni uharibifu wa resource na infrastructure tu.
Kazi ambao unaweza kufanywa na MTU mmoja ama wawili,kwa resource chache,unaifanya ifanywe na maelfu ya watu,kwa resource nyingi na bila guirentee ya kufaulu
Haya ni matokeo ya udikteta ndiyo yanamtokea puani huyu rafiki yenu Kagame The Dictator
 
Hakuna MTU anaependa kuwa muasi au gaidi,ile huwa ni kiwango cha mwisho cha mwanadamu pale anapokuwa amechoka uovu.
Kuna Mzee mmoja jirani yangu umri kama 70yrs old. Anasemaga siku vyrugu zikitokea yeye mtakuta upande wa waasi akiwa na gobore na kidumu cha maji. Madai yake ni kuwa mara nyingi waasi hawatak vita ila kila njia ya majadiliano huwa inafeli na hawasikilizwagi most of time
 
ivi nyinyi mnaopiga kelele nyuma ya keyboard mbona wakati Muroto anatangaza kipigo cha mbwa koko hamkutoka nje?
wanaume mnalalama tu, mnaona wanaume wenzenu hao ,wametoka Kwenye camera, lakini wabongo kutwa majungu mara ooh jiwe mara lumumba.
jitoeni kimasomaso
Unaonaje wewe ukionesha mfano wa kutoka nje ya keyboard.
 
Ni wakati mwafaka sasa wa kwenda kumsaidia ndugu yetu wa damu Kagame....nakuomba sana Raisi wangu msikivu Dk.Magufuli upeleke jeshi letu kwenda kutuliza fyokofyoko za hawa nyang'au wanaotaka kucheza na ndugu yetu wa damu,naona wameichoka pumuzi ya bure wanayopata kila siku.
 
Si mnasemaga jamaa ana uswahiba na kidon ,nadhan watampa sapoti
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom