Enzymes
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 4,332
- 3,020
Fikira zako zipo kitoto kitoto snaa!! Na unafikiria tujitu tudogo tudogo sn. Kama ni askari utakuwa mzigo kwa jeshi!!Hahah marehemu Aqueline wamembutua risasi ya kichwani hakuna mtu aliyekoroma,viongozi zaidi ya 20 wa Chadema kila siku ma kesi mahakamani,lissu katandikwa risasi zaidi ya 30 lkn watu tuko kimyaaaa tunafurahia tu bia kushushwa bei mpk kufika buku jero hahah
Afu we unaongelea eti uasi upi huo?Kula byeree tu hapo ulipo mkuu ubavu wa kupishana na risasi huna mkuu.
Impact ya Any movement ya Against Gvt ni kubwa mnooo! Hata JPM analijua hilo vzr. Na umma haujawahi kushindwa popote pale duniani!!
Sijui huwa mnasoma vitu gani??