Bongotunacheza
JF-Expert Member
- Dec 7, 2018
- 1,773
- 3,877
Tetesi za kwamba Burundi na Rwanda zinataka kushambuliana zinazidi kutawala kwenye mitandao ya kijamii nchini Rwanda na Burundi
**Burundi inadai Rwanda inataka kuishambulia
Kwa kushirikiana na kundi la M-23,red tabara.
**Rwanda inasema Burundi inataka kuishambulia kwa kushirikiana na Congo,FDLR
Jean Habyarimana ambaye alikuwa ni mtoto wa rais wa Rwanda Habyarimana, Kayumba nyamwasa aliyewahi Kuwa mkuu idara ya kijasusi Rwanda na mkuu wa majeshi aliyekimbilia Africa kusini ,Pia amewahi kupokea chupu chupu kuuawa
**Rwanda inadai Jean Habyarimana amekuwa akifanya ziara mbalimbali nchi Congo na Burundi kwa lengo la kupanga kushambulia Rwanda.
**Kwenye mjadala huu Kila nchi imekuwa ikijgamba kwanda endapo mwenzanke atamshambulia atakumbana na majibu makali yenye fundisho.
Soma Pia: Burundi yatoa onyo dhidi ya shambulio lolote kutoka Rwanda
#My take #My take
**Kwenye jambo hili hatari naiyona kwa Burundi maana wakishambuliana na Rwanda Moja kwa Moja Uganda itaingia kusaidia Rwanda,Pia M-23 wataingia kusaidia Rwanda, ukizingatia Burundi inashirikiana na Congo ambayo ina jeshi dhaifu sana ina wasiwasi kama Burundi inaweza kupambana na Rwanda,M-23,Uganda bila Kuwa nchi yenye nguvu kijeshi kusaidia
Credit : Respicius M. Mtakaywe Facebook
**Burundi inadai Rwanda inataka kuishambulia
Kwa kushirikiana na kundi la M-23,red tabara.
**Rwanda inasema Burundi inataka kuishambulia kwa kushirikiana na Congo,FDLR
Jean Habyarimana ambaye alikuwa ni mtoto wa rais wa Rwanda Habyarimana, Kayumba nyamwasa aliyewahi Kuwa mkuu idara ya kijasusi Rwanda na mkuu wa majeshi aliyekimbilia Africa kusini ,Pia amewahi kupokea chupu chupu kuuawa
**Rwanda inadai Jean Habyarimana amekuwa akifanya ziara mbalimbali nchi Congo na Burundi kwa lengo la kupanga kushambulia Rwanda.
**Kwenye mjadala huu Kila nchi imekuwa ikijgamba kwanda endapo mwenzanke atamshambulia atakumbana na majibu makali yenye fundisho.
Soma Pia: Burundi yatoa onyo dhidi ya shambulio lolote kutoka Rwanda
#My take #My take
**Kwenye jambo hili hatari naiyona kwa Burundi maana wakishambuliana na Rwanda Moja kwa Moja Uganda itaingia kusaidia Rwanda,Pia M-23 wataingia kusaidia Rwanda, ukizingatia Burundi inashirikiana na Congo ambayo ina jeshi dhaifu sana ina wasiwasi kama Burundi inaweza kupambana na Rwanda,M-23,Uganda bila Kuwa nchi yenye nguvu kijeshi kusaidia
Credit : Respicius M. Mtakaywe Facebook