Mapambano makali yanaendelea Kusini Magharibi mwa Rwanda

Mapambano makali yanaendelea Kusini Magharibi mwa Rwanda

Jestkilla uzi unakuhusu huu wewe na kaka yako GENTAMYCINE
Mimi naona kama warundi na Wanyarwanda wanapenda sana kuwa wakimbizi...yaani kukimbia kimbia wao ndio wanapenda.

Na Genta na mwenzake hawakai kwao kila muda wako Tanzania hadi kiswahili wanakijua vizuri na kwa vile wamejaa chuki walijifunza matusi kuliko maneno mazuri... Wanatukana hao balaa. [emoji23] [emoji23]

Wajiandae kuwapokea wenzao Tanzania wamefika Rusumo muda huu.
 
Hahah kweli yajayo yanafurahisha,huko Rwanda hakuna hata jiwe moja limerushwa achilia mbali mlio wa risasi.

Jamaa Wako bize kujiandaa na ujio wa Rais wa Mozambique hapo kesho mjini Kigali
Hahahahahaaaa
 
hahahah kusini si ana pakana na burundi hivyo warundi kupitia jiwe sijui juha wao wana support hii movement for change...
Yeye alianzia kaskazini Mashariki wenzake wanaanza kusini Magharibi, ngoja tuone hii movie
 
Tutayasikia CNN na BBC news
Ukiyasikia ni tag dada angu,au fanya kitu rahisi google hao waasi wa NFL uone kama zaidi ya hio web ya chimpreport.com uliyoripoti na ambayo inajulikana kwa kuandika story za Rwanda kama kuna mainstream media nyingine kama bbc,dw,cnn kama hata wanawajua hao waasi mkuu.
 
ngumu sana kumu-eliminate kagame kwa kutumia njia za kijasusi,ufaransa waliziondoa investments zao rwanda wana moango wa kuzileta tz..nilidhani wanaziondoa kimyakimya..his time is up!!..kayumba nyamwasa ni mtusi mwenzie,hapo kuna museveni,nkurunzinza,sijajua kabila yupo upande upi,kwa ujumla moto umewashwa
Alitoka Gaddafi sembuse Kagame huyo ka alikuwa anatumiwa na mataifa makubwa mda wake wakimchoka wanamtoa tu ili watu wauane wauze silaha zao
 
Ukiyasikia ni tag dada angu,au fanya kitu rahisi google hao waasi wa NFL uone kama zaidi ya hio web ya chimpreport.com uliyoripoti na ambayo inajulikana kwa kuandika story za Rwanda kama kuna mainstream media nyingine kama bbc,dw,cnn kama hata wanawajua hao waasi mkuu.
Sio ya kudharau maana tycoon...tajiri sana mwenye ushawishi mkubwa sana Rwanda na jamii ya kimataifa Russesabagina amesema na yeye anawafund jamaa.

Hii ishu ni kubwa maana ni vita ya Watusi kwa Watusi na sio wahutu na Watusi tena...wote wana mkwanja na wote wana hasira.

I'm enjoying the show as usual...Let the rumble Begin.
 
Ukiyasikia ni tag dada angu,au fanya kitu rahisi google hao waasi wa NFL uone kama zaidi ya hio web ya chimpreport.com uliyoripoti na ambayo inajulikana kwa kuandika story za Rwanda kama kuna mainstream media nyingine kama bbc,dw,cnn kama hata wanawajua hao waasi mkuu.
Habari iliyoko BBC ni mnada wa mali za Diana Rwigara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom