Mapambano makali yanaendelea Kusini Magharibi mwa Rwanda

Mapambano makali yanaendelea Kusini Magharibi mwa Rwanda

Hii vita iendelee tu ili hata huyu dictator wetu ajiandae. Naona kazidi sn!!

Nae kuna siku kitanuka.
 
Uasi huanzia msituni, na habari huwa hivi hivi inasemekana, aah majambazi, aah kikundi cha waasi wachache.
Nyie mnaosema uongo, Kigali pako poa kabisa,
Ni kwamba hapo ndio battle ground, siku jamaa wanaingia hapo vita imeisha na rais either akimbie ama akutane na mkono wa waasi .
The same PK alifanya, kwa mazungumzo kwanza badae akashambulia kupata headquarter.
Then kilichotokea ni rais leo.
 
Kharma has never missed the Adress..

I hope it will hit him at the right angle.[emoji41]
 
Hii vita iendelee tu ili hata huyu dictator wetu ajiandae. Naona kazidi sn!!

Nae kuna siku kitanuka.
Aah wapi wabongo tuache ugali na nyama choma tukapigane. Big no
Jiwe atapita tu kuwa na subira
 
Ufupi wa kufikili. Hujawahi kuona mfuga nyoka akifa kwa kuumwa na nyoka aliye mtunza tokea utoto?

Osama ni Product wa USA.
Umenikumbusha miaka kadhaa kama 9 iliyopita kuna kijiji kinaitwa Kwamagome-Handeni kuna jamaa alikuwa anaitwa manyoka kutokana na kukamata nyoka na kuwauza, nyumbani kwake kulikuwa na nyoka wengi na alikuwa anawakamata bila kutumia dawa ila sisi tuliokuwa na shughuli zetu maporini alikuwa anatupatia dawa. Baada ya miaka 2 jamaa aligongwa na koboko aliyemkata yeye akafariki. True story
 
Waangushe utawala wa huyo boya maana ndie alituchagulia jiwe kwa kupenyeza mamluki wake ndani ya usalama wa taifa

Na ninawahakikishia hali ikiendelea kuwa mbaya huko lazima jiwe apeleke jeshi huko tena na bajeti ya kutosha!
Aksante mungu tanzanite yetu itapona
 
Waangushe utawala wa huyo boya maana ndie alituchagulia jiwe kwa kupenyeza mamluki wake ndani ya usalama wa taifa

Na ninawahakikishia hali ikiendelea kuwa mbaya huko lazima jiwe apeleke jeshi huko tena na bajeti ya kutosha!
Aksante mungu tanzanite yetu itapona
 
Mkuu Osama alikuwa CIA na ilipofika alikufa sembuse MI ya Uganda...Uganda my foot mkuu omba isitokee lakini si kutoa CV yake haisadii
Hahah unawapa hao waasi muda gani watakua wamechukua nchi boss?Ili ikifika huo muda niku tag hapa nikupe hongera kwa mapinduzi kufanikiwa
 
Kama hayakuwepo Askari waliangaikia nn? Na vifaru nchi nzima karibia Tshs 5B zilitumika kwa mtu aliyeko nje ya nchi tena mdada wa 30s hata siyo Soldier? Je wakitokea Soldiers na wakawa ndani ya nchi?
Hahah marehemu Aqueline wamembutua risasi ya kichwani hakuna mtu aliyekoroma,viongozi zaidi ya 20 wa Chadema kila siku ma kesi mahakamani,lissu katandikwa risasi zaidi ya 30 lkn watu tuko kimyaaaa tunafurahia tu bia kushushwa bei mpk kufika buku jero hahah

Afu we unaongelea eti uasi upi huo?Kula byeree tu hapo ulipo mkuu ubavu wa kupishana na risasi huna mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom