Desprospero
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 887
- 2,201
Licha kudai kukaa kimya na kuendelea kukaa kimya kuhusu sakata la Bandari lakini bado akazungumza, hakukaa kimya kama alivyodai ina first statement.
Rais Samia Suluhu Hassan amesema, "Hakuna mtu mwenye ubavu na misuli kuigawa nchi hii, kuiuza au kuharibu amani yake iliyodumu kwa miaka mingi".
Ni maneno mazuri lakini tusome between the lines ya maneno yake! Nini maana ya ubavu na msuli? Kwani Kuna kutunishiana ubavu na misuli?
Kwa wanataaluma ya lugha ya kuongea na mwili ni kwamba Samia amesema, "nimeshaamua, mimi ni mbele kwa mbele na hakuna wa kunizuia kwa namna yoyote". Isipokuwa ametumia kauli ya kiongozi kuficha makali. Hii maana yake yuko tayari kufamfanya lolote atakayetunisha ubavu au msuli.
Je, ubavu na misuli ya TEC haiwezi kumtisha Samia na CCM yake?
Rais Samia Suluhu Hassan amesema, "Hakuna mtu mwenye ubavu na misuli kuigawa nchi hii, kuiuza au kuharibu amani yake iliyodumu kwa miaka mingi".
Ni maneno mazuri lakini tusome between the lines ya maneno yake! Nini maana ya ubavu na msuli? Kwani Kuna kutunishiana ubavu na misuli?
Kwa wanataaluma ya lugha ya kuongea na mwili ni kwamba Samia amesema, "nimeshaamua, mimi ni mbele kwa mbele na hakuna wa kunizuia kwa namna yoyote". Isipokuwa ametumia kauli ya kiongozi kuficha makali. Hii maana yake yuko tayari kufamfanya lolote atakayetunisha ubavu au msuli.
Je, ubavu na misuli ya TEC haiwezi kumtisha Samia na CCM yake?