Nassari anatafuta huruma kwa kulia machozi.
Nassari ametuambia hawezi kuacha mke wake,kwa kufuata posho ya laki tatu kwa siku
Nassari ametuambia anakwenda mahakamani
Mkapa alikua sahihi sana kuwapa lile jina
Nassari unakwenda mahakamani kutafuta nini ikiwa umesema huwezi kumuacha mkeo kwa kufuata bunge
Ulipokua unaona hukujua kwamba wewe ni muwakilishi wa maelfu ya watu,wanahitaji uwakilishi wako?
Ungekubali yaishe ukalee mtoto wenu,mkeo anajifungulia marekani,wananchi waliokuchagua wanajifungulia kwenye baiskeli wakati wa kuwahi zahanati ilio mbali