Maoni na Ushauri kwa Joshua Nassari

Maoni na Ushauri kwa Joshua Nassari

Kwa mtazamo wangu, japo sio mtaalamu wa saikolojia, ila kwa uzoefu nilionao, hasa wa kuwasikiliza na kuwafuatilia wanasiasa.......ukweli mi kwamba kuna mengi yapo nyuma ya hili sakata, kijana Nassari anahadaa wapiga kura wake, anajua movie anayocheza.
Una ushahidi wowote au bendera fuata upepo?
 
Hata najiuliza hili lichama linaendeshwaje? Hakuna hata social life yaani, hata group la WhatsApp la viongozi basi! Yaani mikutano mitatu inapita mtu hahudhurii and nobody notices. Wote wanakuja kushtuliwa na barua ya spika!
Hivi Chadema hawawezi kufanya vizuri hata kitu kimoja jamani, kimoja tu
It's failed political party.

Mrema kanyamaza kimya wafuasi wa CDM wanamshambulia spika tu.

Je amuoni kosa la Mrema? Kuna mkono wa CDM katika hili, wamemsaliti dogo janja totally.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amekosa kuhudhuria mikutano mitatu mfululizo.
  1. mkutano wa kwanza aliomba ruhusa?
  2. wapili aliomba?
  3. wa tatu ndiyo hiyo tunaambiwa aliandika email.
Kafanya kusudi huyu.
 
Nassari anatafuta huruma kwa kulia machozi.
Nassari ametuambia hawezi kuacha mke wake,kwa kufuata posho ya laki tatu kwa siku
Nassari ametuambia anakwenda mahakamani
Mkapa alikua sahihi sana kuwapa lile jina
Nassari unakwenda mahakamani kutafuta nini ikiwa umesema huwezi kumuacha mkeo kwa kufuata bunge
Ulipokua unaona hukujua kwamba wewe ni muwakilishi wa maelfu ya watu,wanahitaji uwakilishi wako?
Ungekubali yaishe ukalee mtoto wenu,mkeo anajifungulia marekani,wananchi waliokuchagua wanajifungulia kwenye baiskeli wakati wa kuwahi zahanati ilio mbali
Au alitaka mtoto mmrekani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najua hapa kuna ' Wabobezi ' wakubwa tu na wazuri wa mambo ( masuala ) ya Kisaikolojia hivyo nawaomba waangalie Mkutano wa aliyekuwa Mbunge Nassari jana alipokuwa akizungumza na Wana Habari kisha watupe ' Observation ' yao kwani kuna mengi tu yamejificha na kuna Maswali mengi yapo Kwake.

Nawasilisha.
Mwanasiasa siyo wa kumuamini kabisaa,ila ipo siku watu watajua ukweli.
 
Hata najiuliza hili lichama linaendeshwaje? Hakuna hata social life yaani, hata group la WhatsApp la viongozi basi! Yaani mikutano mitatu inapita mtu hahudhurii and nobody notices. Wote wanakuja kushtuliwa na barua ya spika!
Hivi Chadema hawawezi kufanya vizuri hata kitu kimoja jamani, kimoja tu
Walishapoteana Nilisema humu.
 
Kwa mtazamo wangu, japo sio mtaalamu wa saikolojia, ila kwa uzoefu nilionao, hasa wa kuwasikiliza na kuwafuatilia wanasiasa.......ukweli mi kwamba kuna mengi yapo nyuma ya hili sakata, kijana Nassari anahadaa wapiga kura wake, anajua movie anayocheza.

Tena yapo mengi sana kutoka Kwake na kwa wengineo. Natamani kila Mtu arudie tena Kumuangalia akiwa anazungumza kisha mtulie vyema na tumieni Jicho lenu la Tatu mtagundua mengi mno tunayoyajua na yale tusiyoyajua. Jamani ' Wabobezi ' wa Saikolojia mpo wapi? Hebu tiririkeni na sererekeni ' Kiutaalam ' wenu juu ya Nassari na Mkutano wake na wana Habari jana.
 
Ila kuna kitu ninakiona kinakosekana Opposition hasa Chadema. Chama ni taasisi kama zilivyo taasisi nyingine. Ukiacha shughuli za kisiasa, mambo ya kawaida ya kiofisi lazima yaendelee. Kazi za utendaji. Na hili linasimamiwa na Katibu Mkuu. KM aliyepo amelega lega kiasi fulani eneo hili. Katika mazingira ya sasa ya siasa, there is no room for stupid errors. Wanapaswa kuwa makini. Technicalities hizo lakini zina effect.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nachojiuliza ni kwamba yaan miaka yote majukwaani wanatuambia CCM Ni mashetani hawafai halafu tena wanajiingiza wenyewe kwenye 18 za mashetani na kutaka huruma eti spika hakuniita kuniuliza kinachonisibu or nilishauriwa na msaidizi wa spika, sympathy from an enemy? Ngoja niandike kitabu chenye hiyo title
SYMPATHY FROM ENEMY kitauza sana mkuu.

Fanya ivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani cha kufanya ni yeye ajipange kugombea tena ubunge tu. Kwenye kampeni kama wapiga kura wataelewa hoja zake haitakuwa tabu kushinda
Hatapita! Ametuuza huyo msimwamini hata kidogo.
 
Siasa za tz kwa sasa ni unbelievable, Japo namkubali sana Nassari ila kwa hili moyo wangu umekuwa mzito kukubaliana nae. naona analeta hoja za madeko zaidi badala ya kujikita kisheria na sio kifamilia.
NB: ujinga wa kutojua sheria hauzuii sheria kukuadhibu.
 
Sheria inasema, ukikosa vikao vitatu bila taarifa yyt ile unaliwa kichwa. Hakuna sheria inaposema utaitwa ujielezee kwanini uhudhurii Bungeni au upewe onyo.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Iyo sheria ya kujieleza CDM wamegeuza yaani hawa jamaa ujanja mwingi mbele kiza mkuu.

Je uhisi kuna usaliti kutoka CDM katika hili mkuu? wabunge wote wa CDM pamoja na yule Mrema walikuwa awajui sheria,taratibu na kanuni za Bunge?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KICHWEA KIMELIWA KAMA SAN VITA PALE TAIFA JMOSI, huyo ukweli anaujuwa ndiyo maana hata maswali kwenye press yake hakutaka maana alijuwa maswali atakayoulizwa hana majibu yake miezi tisa mke anajifungua tu? au mimba ilipoingia tu akawa hoi akapelekwa marekani? jamani ndugai hana kosa labda wa amend katiba ili arudishiwe ubunge wake kitu ambacho hakiwezekani
 
Alipokaa kimya inakuwa taabu, akiongea mnamtazama kwa jicho la tatu. Huyo Ndugai mbona amjatazama kwa jicho la ziada nae? Mnadhani alilofanya ni sahihi? Ebu acha kuondoa train kwenye reli bhana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kufuata sheria au intimacy eneo la kazi kipi bora? Angeaga Kazini kwake kungetokea haya? Acheni kutetea ujinga, huyu mimi naamini kwamba amenunulika 99.9%
hajanunuliwa na mtu huyu ameunga mkono juhudi za rais kaona 2020 atawaambia nini wananchi wa arumeru kuwa serikali haifanyi kazi? kaona bora ajitoe mapemaaaa
 
Back
Top Bottom