Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,828
- 110,078
Hivi unakumbuka kipindi kile yuko O level?
Dah kweli siku hazigandi.
Mi natafakari huyu manoah ni dogo yupi?
Kaka huyu ni dogo mmoja alikua machepele sana anapenda kuvaa boot za Timberland!
Hivi unakumbuka kipindi kile yuko O level?
Dah kweli siku hazigandi.
Mi natafakari huyu manoah ni dogo yupi?
watakubali tu, Chezea CEO wewe...............
sio aangalie Slogan, ai quote na ku acknowledge source. sipendi usanii hata kidogo
Kaka huyu ni dogo mmoja alikua machepele sana anapenda kuvaa boot za Timberland!
mueleze bhana anakua kama katoka Tokomwile leo...
Kihindi mie nitakijulia wapi ndugu. Ndio huyo huyo bwana sija wabishia, ila mimi ndio hamto kuja nijua
Hapo kwenye Timerland umekosa, mie ni mzee wa SAFARI boot, kadeti napenda langi ya kaki, na shati mikono mifupi likiwa mikono mirefu hua nakunja. T shirt hua sivaagi
we kila leo upo mitaa ya K'ndoni hapo
Mzee wa viti virefu mitaa ya K'ndoni hapo hahah....yes ni Saf boots
Yap, ni kweli ninaishi mitaa hiyo, ila siku hizi naishi mbezi mwisho na kushinda maeneo ya kazini kwangu, kino napatikana kwa nadra sana. Zamani nilikua napenda sana kwenda matema na masai na nilikua mzee wa heineken tu, ila sikuizi ukitaka nipata njoo kazini au kanisa la mtakatifu joseph mida ya jioni
Ulale salama madame B , kesho nitakuletea zawadi
Mbezi Mwisho ipi hiyo...
Makondeni, Msigani, Msakuzi, Msumi, Kipasika, Kwa Yusuph, Malamba Mawili, Zone, Kwa Mpipi au???
Hatutaki...tukilala nani atailinda Chitchat na wavamizi....
Halafu mbona simu yako haipatinani???
Mbezi Luisi, mie sio mwenyeji huko
haya bwana ila watu8 ndio mzee wa jiji, anafanya kazi kama CIA huwezi jificha nisikuone...
CIA mie ni kama kaka kuona.
Kitanda kime mwagikiwa na maji ya mvua, niliacha madirisha wazi kwaiyo hapa nipo nimekaa tu