Manji: Nchi yangu hainithamini

Manji: Nchi yangu hainithamini

Bramo nini India nenda Kenya katuonyeshe Mtanzania ambaye ni Diwani wa kule. Huu ni Ubaguzi wa kiwango kile kile cha wale wanaowabagua wenzao kutokana na dini zao. Kama Kenya Mtanzania hawezi kuwa Kiongozi ni kwa nini mtake Mtanzania akawe kiongozi India? Manji ni Mtanzania na ndiyo maana amechaguliwa kuwa Diwani wa Mbagala Kuu, ila yeye Kabila lake ni Mhindi kama Magufuli alivyo Msukuma!!

Mkuu
Nadhan wewe utakuwa Mhindi, sio bure
 
Ubaguzi ni kama ugonjwa, humpata mtu yeyote yule. Waulize watu wanaosoma masomo ya Jamii kuhusu saikolojia ya watu wachache (Minority) dhidi ya watu walio wengi kwenye eneo husika.

London watanganyika husema Wazanzibar wanawabagua, Dar es salaam wazanzibar wanadaia wanagandamizwa na watanganyika. Hisia za kubaguliwa na ubaguzi ni vitu viwili tofauti. Mzee Mohamed Said anadai kuwa Waislamu wanabaguliwa katika mfumo wa uongozi na Elimu. Ni kweli?

Kwa hiyo unakubali Kama hao waajiri wako magabacholi ni wabaguzi!?
After all haujajibu maswali yangu. Tusitetee upuuzi na upumbavu wa hawa watu. Walishazoea kufanya Tanzania ni shamba la bibi na kujiona wako juu ya sheria. Well huo wakati umepita sasa. Muulize Huyo Bosi wako Manji anaishi wapi!?
 
Kama anaona nchi haimthamini, naye aache kuithamini; aache kabisa kuifadhili Yanga na aache kuchangia hela ktk kampeni za chama chake, maana hakuna namna
 
Mwambieni kuwa Yanga ni club tu ka Simba na Azam hata Toto Afr. Kuukwaa uongozi yanga si fagio la kuwafanya Watanzania wamthamini.
Wapo wanaotoa misaada mingi tu kwa ajili ya wenye shida mbali mbali, na bado hawajaomba hata ujumbe wa nyumba kumi. Yeye kuwa mfadhili wa Yanga tu ndo nchi yake imthamini?
Maji, jiulize umeifanyia nini nchi yako, si watu wamekufanyia nini. Mwaga misaada kila mkoa, Wekeza kwenye vyama vya kuondoa umasikini hata tubilioni tuwili hivi, kwani utafilisika? Mbona umeenda kuwabania wenzako kwenye udiwani hutaki watoto wa wengine wende chooni?? Manji, weye si wa kugombea udiwani tafadhali. Ungeomba Urais au ukishuka kidogo, uwe mbunge ka wenzaki kina Abood.
Ukitaka tukuthamini, kwanza jithaminishe kwetu

Mahesabu yake yamegonga mwamba alilenga umeya na si udiwani kama unavyojua.
Mungu ni mwema katuepusha na huyu jamaa maana angejimilikisha dar yote lait kama angekuwa meya.
 
Mkuu
Nadhan wewe utakuwa Mhindi, sio bure
Mkuu,
Nadhani atakuwa ni Mhindi wa Kabila la Kitanzania Kama alivyodai hapo awali juu ya Bosi wake Manji eti kwamba ni "Mtanzania wa Kabila la kihindi".....seriously !!!!!!!!!!
 
Kazi yake kupora maeneo ya watu kapora la bakwata kwa kuhonga mashekhe wa bakwata sasa ameona haitoshia kahamia adi kwenye maeneo ya wanyonge
 
kwenye EPA Manji si ndo alipiga mpunga na ile kampuni ya Kagoda ama?
 
Dhulma na ufisadi alioufanya kwa Taifa hili halafu bado anakula pilipili za kihindi uraiani anahisi taifa lote ni jinsia ya kike kasoro yeye ndio sababu ana kebehi eti Taifa halimthamini. Kwanza yeye si Mtanzania aseme tu ana hati ya kusafiria ya Tanzania. HATA BAba yake Marehemu Mzee Ghulum alikuwa na pesa maarifa mengi ya kibiashara lakin hakuwa Mshenzi kama Mwanae. Kamdhulumu mpaka Dada yake wa Pekee mirathi ya Baba yake itakuwa Hohe hahe wa Mitaani!!

nimecheka sanaaaaaaaa
 
Bila shaka hapo wanaonekana kama wana kwao mwingine zaidi ya tz. Lkn vipi Mrugulu au Mgogo, ana mwingine. Sorry, but that is I see it. Back in 1995, wahindi wengi walihamisha familia zao wakisubiri haki ya Uchaguzi. Lkn akina Dionizi Na akina Mengi unadhani walifanya hivyo??

umeongea point sanaaaaa
 
Enzi za kujuana juana na kujifanya Mungu mtu.Ziilishia kwa Mzee wa Msoga!! Kasahau slogan ya serikali ya awamu hii.mukumbusheni.
 
magufuli anamchukia sana Manji, sijui alimfanyia nini...manji amesaidia watu wengi sana mpaka club yetu ya Yanga
Yanga hata uwanja wa mazoezi hawana.ni kombe gani la maana yanga wamechukua.yanga imemsaidia manji.alikua hajulikani pamoja na mihela yake
 
Mm nadhani Mh! Rais alishamueleza waziwazi kuwa serikali IPO. Tena ya JPM. Sasa sijui kiburi anatoa wapi cha kujibizana na Rais.
 
Tatizo watu mnamjadili Manji kwa kutumia lensi ya asili yake na hii inaonekana kwenye kauli za kibaguzi kwenye maoni ya baadhi ya watu. Sidhani kama baadhibya comments humu zingebaki kama zilivyo iwapo Manji angekuwa na asili ya udengereko, unyakyusa au nyingine yoyote ya weusi.
 
Project gani kubwa ameshawahi kufanya huko duniani mpk wamthamini?
 
Goodrich,
Nasikia harufu ya Ubaguzi.Mimi siyo Mhindi lakini kitendo cha kuanza kumlaumu Manji na kulalamika ati sehemu kubwa ya utajiri meshikiliwa na Wahindi naona ni upuuzi mtupu! Kwa maana hiyo hata kina Mo Dewji na Wahindi wote wafanyibiashara wakubwa hawatakiwi Tz?
Watz acheni wivu wa kijinga wa kuwaonea ghere jamii ya Waasia ambao ni wachakarikaji na watafutaji wa maisha walio makini kabisa na dunia inajua hilo.
Nenda USA,Canada,Uingereza,n.k utawakuta hawa jamii ya Wahindi wakimiliki biashara za uhakika!

Kama kuna mtu ana ushahidi wa Manji kuhusika na Ufisadi wa aina yoyote kama EPA,TEGETA ESCROW,CONTAINERGATE(TRA&TPA),DEEPGREEN,n.k atuwekee hapa ili tuanze kumchana live!



Hujielewi wewe kwan marekani hakuna black tanzanians wanaochakarika... kuwa muhindi mtanzania sio justification ya kutoguswa unapotenda mabaya.. Kama hujui uchafu wa huyu jamaa ni bora ukae kimya...

Asilimia kubwa ya hao mnaowaita watanzania wenye asil ya india wana pasport zaid ya moja kwa maana nyingne ni raia wa nchi zaid ya tanzania yetu... Manji mwenyewe ana pasport nne... Sasa mtu kama huyu unadhan ana mapenzi ya dhat na sisi watanzania na nchi yetu.. ndio maana yupo kipigaji tuu
 
Nchi haimthamini baada ya kula tenda la power tiller na matrekta na mzee wa wapigwe tu
 
Uhindi wala weusi si Utanzania. Mimi nitaendelea kuamini kuwa Manji ni mtanzania kama nilivyo mimi!! Huo ubaguzi wenu wa rangi wengine hatuwezi hata kwa bahati mbaya kuuvumilia. Huo ni UKABURU na ni lazima tutapigana kuutokomeza!!

Jibu hoja acha maneno yenye tope la mavi ya kuku
 
Back
Top Bottom