Manji: Nchi yangu hainithamini

Manji: Nchi yangu hainithamini

kama anaisi kuthamini ni kupola maeneo ya wazi imekula kwake aende kwa wachotala wenzie huko uraia sio lazima awe mzaliwa aende wakamsajili mbele ya safar huko
ubaguzi wa rangi peleka kwenye ufuaji wa nguo. 😡😡😡
 
aafu hawalipi hata kodi kwenye hizo kampuni zao.
unaweza kuta hata mimi nalipa kodi kubwa kuliko yeye kupitia mshahara wangu.
serikali ya kitapeli ya jk ndio ilikuwa inathamini wasiolipa kodi na kuwaacha walipa kodi.
hawa jamaa wanatakiwa kubanwa sana tupate kodi.
Wangelipaje wakati serikali waliiendesha wao remotely?! Huyu ndiye alituma masanduku ya noti dodoma kuhonga wajumbe wa ccm ili fisadi lao lipitishwe na chama kugombea urais, ulisikia mwisho wa ile kesi?! Fikiria nchi ingekuwa na hali gani kama fisadi lao lingeshinda.
 
Kama anaisi kuthamini ni kupola maeneo ya wazi imekula kwake aende kwa wachotala wenzie huko uraia sio lazima awe mzaliwa aende wakamsajili mbele ya safar huko
Racism at work
 
Ni kweli anaweza kuhama nchi ila tujue tu atahama na ajira za watu kibao ambao mpaka sasa serikali bado haijajipanga kuwapa ajira wala kuwawezesha kujiajiri.

Siungi mkono ufisadi ila nawakubusha tujadili haya mambo kwa kuangali pande zote ili watu waweze kujipanga.

Hana jeuri yakuhama....anawatingishia Kiberiti maGAMBA wenzie hii NCHI wahandi wanachota sana upuuzi wanaotufanyia chini ya CCM kwenye NCHI yenye uongozi unaojitambua.....hawafanyi ujinga huu
 
ubaguzi wa rangi peleka kwenye ufuaji wa nguo. 😡😡😡

Acha upumabavu yule ni mhindi....watu wa Mbagala wamempa uDiwani sababu aliwapa elf 10 kila mmoja wewe unaweza kwenda INDIA ukapewa uongozi...
 
Manji ni dhulumati tu kama walivyo ponjolo wenzake, wabaguzi na wabinafsi wakubwa hawa Watanzania wenye asili ya uhindi, wakibaguluwa wanajua sana kulia ila wakibagua wao ni sawa tu.
 
Manji anachukiwa na kila mpenda maendeleo ya nchi hii, na kila mzalendo. Ni fisadi ameihujumu nchi kwa kufanya tenda za kihuni. Kwa nini hachukiwi bakhressa? Kwa nini hachukiwi sabodo au mengi? Ingekuwa china manji angesha..... Basi tu. Dr Magufuli doctor uliyesomea fanya kaz baba awamu hii kazi tu majungu,fitna na unafiki ulishapita
 
magufuli anamchukia sana Manji, sijui alimfanyia nini...manji amesaidia watu wengi sana mpaka club yetu ya Yanga

Mpeni Tu!! Sio Nchi Yetu, Hatuhitaji Huo UTAJIRI Wake Ndani Ya SERIKALI YETU!!! Mr President Sio Anamchukia, Bali Yeye Anawafahamu Hao Ni WAPIGA DILI Tu!!! Hivi Huo UZALENDO Kwa TANZANIA YETU Hii Ni Wa UKWELI Au KUTAFUTA Fursa Tu!!! Maana Tuliona Wkt Wa Tender Ya KUTENGENEZA Yale Matera Ya Kusombea TAKA Manispaa Ya K/ndoni!! Yalitengenezwa Chini Viwango Ambavyo Walivyokuwa WAMEKUBALIANA!!! Hali ILIYOPELEKEA Madiwani Kuyagomea, Lkn Cha Kushangaza Baadae Baadhi Yao Waligeuka Na Kuyapitisha!! Ndio Yale Yenye Kuvutwa Na Matrekta Kule K/ ndoni, Rangi Ya Manjano Mpauko!!!! Watengenezaji Ni Quality Gerage!!! Haya Mara Coco Beach, Magomeni Kota N.k. ALAFU Eti RAIS Anamchukia!! Kama RAIS Anamchukia Kwa Yeye KUTAKA KUPIGA DILI, Na WATANZANIA Tunamchukia Pia!!!!
 
Ni kweli anaweza kuhama nchi ila tujue tu atahama na ajira za watu kibao ambao mpaka sasa serikali bado haijajipanga kuwapa ajira wala kuwawezesha kujiajiri.

Siungi mkono ufisadi ila nawakubusha tujadili haya mambo kwa kuangali pande zote ili watu waweze kujipanga.



Akili hizi ndizo sizipendi, yaan tumuogope MTU kisa eti ametoa ajira nyingi hapa nchini?

Kwani kumthamini manji ni lazima tumpe coco beach?

Aende huko morogoro akawekeze huko, amishaambiwa sheria hairuhusu kuwekeza hayo maeneo kwa MTU binafsi, sasa tumfanyeje?
 
Akainvest kwenye umeme, shilika la umeme na tanesco wanahitaji wawekezaji kuzalisha umeme sio lzm kwenye ardhi.
 
Ahame inchi,namjua kama mpigaji na mdhulumati ukifuatilia apeech ya mengi JPM hawezi muonea ivi ivi tuu kuna rafu apo.
Maana utajiri wote alionao ukiuliza kodi alipayo sasa ndo unaweza zimia

huyu mwivi tu,ngoja mda ukifika hela walizopiga na dau wa nssf ma godown ubungo watarudisha tuu
 
Yeye mwenyewe kwanza kalifanyia nini Taifa mpaka awe mtu wapekee wa kuheshimiwa Kati ya mamilioni ya raia wa Tanzania?.
 
Wakulaumiwa hapa ni CCM ambao wamewageuza matajiri kama Mungu watu kwa kuwafanya kuwa wafadhiri wa chama chao,sasa wanataka kupewa heshima ya pekee Kati ya mamilioni ya watanzania utafikiri watanzania wengine hakuna walicho kifanya.
 
Back
Top Bottom