Goodrich,
Nasikia harufu ya Ubaguzi.Mimi siyo Mhindi lakini kitendo cha kuanza kumlaumu Manji na kulalamika ati sehemu kubwa ya utajiri meshikiliwa na Wahindi naona ni upuuzi mtupu! Kwa maana hiyo hata kina Mo Dewji na Wahindi wote wafanyibiashara wakubwa hawatakiwi Tz?
Watz acheni wivu wa kijinga wa kuwaonea ghere jamii ya Waasia ambao ni wachakarikaji na watafutaji wa maisha walio makini kabisa na dunia inajua hilo.
Nenda USA,Canada,Uingereza,n.k utawakuta hawa jamii ya Wahindi wakimiliki biashara za uhakika!
Kama kuna mtu ana ushahidi wa Manji kuhusika na Ufisadi wa aina yoyote kama EPA,TEGETA ESCROW,CONTAINERGATE(TRA&TPA),DEEPGREEN,n.k atuwekee hapa ili tuanze kumchana live!