Mange mdada mwenye akili anayejitambua, anongea facts kwa evidence. Tanzania nzima inamfahamu has a JPM kwani anaikosoa serikali yake hadi Mara kadhaa ameshatoa Maelezo pale Mange aliposimamia jambo.
Ninamwamini kuwa kile anachokifanya ni kwa nia ya kuwakomboa watz dhidi ya ukandamizaji wa demokrasia, na mengine mengi, tumuunge mkono tuikomboe nchi yetu...
Ninamwamini kuwa kile anachokifanya ni kwa nia ya kuwakomboa watz dhidi ya ukandamizaji wa demokrasia, na mengine mengi, tumuunge mkono tuikomboe nchi yetu...