Mange achoma moto kadi ya CCM live

Mange achoma moto kadi ya CCM live

tuheshimiane mkuu mimi na wewe hatufahamiani na mama yangu humfahamu mwambieni huyo malaya wenu ccm hatumhitaji.

Kama uhitaji CCM hama kachaguwe mama mwingine. CCM under Magufuli is here to stay, accept it and move on.
 
tafuta kiki tu, na usirudi tanzania tutakukamata tu
Kupitia mtandao wa instagram ameweka video akiichoma kadi yake ya ccm huku akiongea na mwanae kuhusu mambo ya udikteta Tanzania.



1bc220c42188ac82c80e670133373573.jpg
 
Pilau inaleta ugonjwa wa moyo, unga unajenga mwili. Mpaka ujuwe umuhimu wa usawa, haki na afya ndiyo utachaguwa kupokea unga na siyo pilau.
Unga huo unga upi? Maana usilopokwe bila kujua unga upi
 
Wenye akili nyingi kama huyu dada walishaujua ukweli ila mafaru john wanaendelea na akili zao mgando.
 
Yamemfika hapa teh kamtukana sana lowasa leo ndo hivo tena
Na ndoto za kuja kugombea ubunge zimeisha
 
Kwani mada iliyopo mezani ni kuchoma lumunba au kadi ya ccm, hakika ccm inaonekana ina watu wengi ambao ni Bashite Materials, kwa maoni yangu mkuu wa kaya afanye upembuzi yakinifu kwa wateule wake, yawezekana tunaongozwa na kina Bashite wengi sana
 
Kupitia mtandao wa instagram ameweka video akiichoma kadi yake ya ccm huku akiongea na mwanae kuhusu mambo ya udikteta Tanzania.



1bc220c42188ac82c80e670133373573.jpg

Kuchoma kadi kuna saidia nini? Mtu wa namna hii huwa na chuki huku anakipenda chama na hataki kukiacha, sasa kupunguza stress anajifariji kuchoma kadi ila chama bado anakipenda moyoni na hawezi kukiacha. Kama unachukia chama chukuia kuanzia moyoni.
 
Kuchoma kadi kuna saidia nini? Mtu wa namna hii huwa na chuki huku anakipenda chama na hataki kukiacha, sasa kupunguza stress anajifariji kuchoma kadi ila chama bado anakipenda moyoni na hawezi kukiacha. Kama unachukia chama chukuia kuanzia moyoni.
Watu wanachoma hadi bendera ya taifa kufikisha ujumbe sembuse kadi ya chama.
 
Kwani mada iliyopo mezani ni kuchoma lumunba au kadi ya ccm, hakika ccm inaonekana ina watu wengi ambao ni Bashite Materials, kwa maoni yangu mkuu wa kaya afanye upembuzi yakinifu kwa wateule wake, yawezekana tunaongozwa na kina Bashite wengi sana
na alikua mtu wa kwanza kusema hadharani kua makonda vyeti sio vyake
Mange hako
Mange hakopeshi. Kwa kweli operesheni choma kadi ni njia murwa ya kufikikisha ujumbe.
 
Back
Top Bottom