Mange achoma moto kadi ya CCM live

Mange achoma moto kadi ya CCM live

Anawafundisha mpaka watoto HATE. .NO IT DOESN'T WORK THAT WAY JAMANI JAMANI. ..
 
Kadi ina umuhimu gani, kura ndio muhimu sio kadi.. Kadi haipigi kura ya uchaguzi mkuu
 
Huu ndo muda sahihi wa kukamata kadi ya kijani
 
Sanamu walilochonga wenyewe lumumba, sasa linawatisha kweli kweli,
 
Je unazan kampen hii ya mange inaweza kuleta madhara yoyote. Kumbuka alichangia sana mwaka Jana kupiga kampen za mtandaon kumpigia mh maguful . au mnazan mbinu sahihi ni ipi

Ameandika hiv mange


@Regrann from @mangekimambi_ - It's official, sina chama......
.
.
[HASHTAG]#Opereshenichomakadiyaccm[/HASHTAG]
.
.
Kama na wewe unapinga udikteta wa Magufuli, kama unataka [HASHTAG]#Bungelive[/HASHTAG], kama unapinga kuminywa kwa uhuru wa vyombo vya habari, kama unapinga watanzania kunyimwa uhuru wa kujieleza, kama unapinga wabunge wa CCM kupitisha sheria zinazokiuka haki za binadamu, kama umechoka kuona wabunge wa CCM wakisaidia chama na sio mwananchi, kama unapinga MaxMelo wa jamiiforums kukamatwa, kama unapinga Lema kuwa ndani mpaka leo sababu ya maono/ndoto, kama unapinga wabunge wa upinzani kufukuzwa bungeni , kama umechoka na ahadi za CCM , kama umechoka umaskini, kama ni mwanafunzi umerudi nyumbani kwa kukosa mkopo, kama wewe ni mwalimu wa sanaa, kama unasubiria ajira ya serikalini toka mwaka jana, kama biashara yako imekufa sababu ya makodi, kama ulisikitika mwenyekiti wa CCM kupiga panga pesa za mchango wa Kagera, kama umechoka umaskini, kama unataka kuona system MPYA Tanzania in 2020. Kwa kifupi kama umechoka na ungese wa CCM basi ntumie video yako ukichoma kadi yako ya CCM.... Maana wanadhani wanaowakosoa ni wapinzani kumbe wanakosolewa na watanzania wasiojali vyama bali nchi yao..
.
.
Tukitaka kuandama wanatishia kututoa uhai. Kuna njia zingine za kuwaonyesha hatuko nao. Njia moja ndo hii [HASHTAG]#OpereshenichomakadiyaCCM[/HASHTAG]
.
.
Ntumie video yako kwa whatsapp +1 310 855 4352
.
.
.
.

PS: ni kadi ya 2015 coz nilipoteza ya zamani.... - [HASHTAG]#regrann[/HASHTAG]
 
We unamuona chizi, lakini amini usiamini ana umaarufu na wafuasi wengi kuliko wewe Mzima
Kweli aiseeee na ana nguvu balaaa akisema kitu watu hufuata haraka sana
Rejea posti ya mis tz
 
Mi nampenda Mange, she is a woman who speaks her mind... yaani yeye anafanya linalomjia katika mind yake... haogopi wala nini
Nimempenda aisee. Kama una mawasiliano naye mwambie nataka kutangaza naye ndoa aisee. [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Hatari Sana, Mwanachama Hata Mmoja Anapoondoka Kwenye Chama ni Pengo

Mwadhama-Polycarp-Kardinali-Pengo-ASKOFU-MKUU-WA-JIMBO-KUU-LA-DAR-ES-SALAAM.jpg
 
kwa nini asingetumia jiko la mkaa ndio ingeungua vizuri au hakuna mkaa huko aliko
 
Naona ananyea kambi.
Anachoma kadi kwa mbwembwe.Siku TRUMP akimtimua Marekani mkuku atatukuta wana CCM AIRPORT tukimsubiri kwa hamu
Kule wana utawala wa haki na sheria. Ukishapata green card, no body can revoke it! Huwezi kumwambia mtanzania kuwa wewe si mtanzania, !!! huwezi kumwambia mwamerika kuwa wewe siyo mwamerika. She is a USA citizen/national!
 
Back
Top Bottom