johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,600
Ni wazi ataondoka na wavamizi wenzake waliokuwa wanakipaka matope chama.CCM inarudi ktk misingi yake ya ustaarabu na heshima.
Ni imani yangu Polepole na sekretari yote hamtatuangusha ktk kukisafisha chama na kukirejeshea heshima yake iliyopotezwa na watu jamii ya kina Mange!
Ni imani yangu Polepole na sekretari yote hamtatuangusha ktk kukisafisha chama na kukirejeshea heshima yake iliyopotezwa na watu jamii ya kina Mange!