Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,957
- 10,053
Ni nani huyo?We unamuona chizi, lakini amini usiamini ana umaarufu na wafuasi wengi kuliko wewe Mzima
Ni nani huyo?We unamuona chizi, lakini amini usiamini ana umaarufu na wafuasi wengi kuliko wewe Mzima
Yupo Marekani.Kwa sasa macho na akili zetu zote zipo katika kufurahia KING OF THE SOCIAL MEDIA Ndugu Maxence Melo kuachiwa huru kwa dhamana na huyo Mange wako nadhani tutamjadili siku zijazo na pengine ningekushauri tu huu muda ambao unahangaika kumpovukia Mange ambaye yupo miles nyingi tu kutoka hapo ulipo basi ungeutumia kumwambia ambaye kafanya sasa Unga wa Sembe upande bei ghafla atusaidie kutushushia, pia ajitahidi aache Utaalam utawale Kazini na siyo Siasa lakini kubwa kuliko yote umshauri tu kuwa kuzuia FREEDOM OF EXPRESSION na INTERNET FREEDOM nchini Tanzania ni sawa sawa na kuwazuia Wana wa Mungu kuiona PARADISO kwa kusema ukweli na kuwa wawazi.
Ni upuuzi uliuotukuka kabisa Mtu mzima kuhangaika na matatizo ya Mtu aliyepo Ulaya wakati hapa hapa tu Magogoni na Mzizima kuna matatizo lukuki.
Huyu dada yetu ambaye maisha ya ughaibuni yamemshinda, eti sasa anafanya kampeni ya kijinga ya kuchoma kadi za vyama vya siasa. Kwanini asirudi Tanzania aje afanye siasa za kistaarabu za kujenga hoja???
Ajitokeze hadharani, aache kujificha chini ya kivuli chake.
Kwani aliyepotea umemtafuta,,?Akipotea hatumtafuti ng'oo
Mkuu barikiwa kwa hili neno la hekima.Kwa sasa macho na akili zetu zote zipo katika kufurahia KING OF THE SOCIAL MEDIA Ndugu Maxence Melo kuachiwa huru kwa dhamana na huyo Mange wako nadhani tutamjadili siku zijazo na pengine ningekushauri tu huu muda ambao unahangaika kumpovukia Mange ambaye yupo miles nyingi tu kutoka hapo ulipo basi ungeutumia kumwambia ambaye kafanya sasa Unga wa Sembe upande bei ghafla atusaidie kutushushia, pia ajitahidi aache Utaalam utawale Kazini na siyo Siasa lakini kubwa kuliko yote umshauri tu kuwa kuzuia FREEDOM OF EXPRESSION na INTERNET FREEDOM nchini Tanzania ni sawa sawa na kuwazuia Wana wa Mungu kuiona PARADISO kwa kusema ukweli na kuwa wawazi.
Ni upuuzi uliuotukuka kabisa Mtu mzima kuhangaika na matatizo ya Mtu aliyepo Ulaya wakati hapa hapa tu Magogoni na Mzizima kuna matatizo lukuki.
Kukaa na laana ni busara?Naona Mange ana stress nyingi na huko kuchoma moto kadi ya ccm sio kuwa atapata afueni bali anazidi kujiangamiza kimawazo. Busara ni muhimu maishani.
Uwezo upo ndio maana mnaogopa kuachia uwanja wazi wa siasa mkiijua mtapigwa asubuhi na mapema. Niambie mtu wenu ana usafi gani?. Rudiseheni pesa ya rambirambi. Tukutananeni 2020 mtatapika rambirambi aisee.Unadhani chadema anauwezo wa kuongoza nchi??
Hatuwezi kuuza nchi yetu kwa kuwakabidhi wapiga deal waongoze nchi?
Usafi wa mtu unaanzia yeye mwenyewe kisha ndani kwake.
Chama kina nusu karne kina nini cha kujivunia? ??
We unamuona chizi, lakini amini usiamini ana umaarufu na wafuasi wengi kuliko wewe Mzima
nasikia mbu wa zika wanang'ata mchana.Wasafi beach party na zika itakuaje wakuu,au tutagawiwa neti tukiwa ndani?