Gsana
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 4,383
- 1,321
mawasiliano na sebodo (mhindi anaewapaga hongo chadema) yanafanyika ili aweze kuchangia milioni 1 kulipia gharama za hayo maandamano!!!!
NADHANI NI MWANZO MZURI!!!
we mrembo,majina mengne si ya kutaja ovyo ovyo,sabodo ata alipoipa chadema miela,ata ccm walifyata mikia ila naona wee wataka kuwa wa kwanza kujitoa mhanga! Aya kada mrembo!