Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Nimekubadilishia Film na kukuwekea hicho kipande cha mwisho.
Zubeda na yeye atakuwa na kazi sana ya kuniambia yeye ni DUME ila pia haitasaidia.
Hata mie huwa ni mtu wa "nguruwe pita" ila kwa Zubeda, itakuwa kulipa KISASI changu cha CCM Kuchakachua.
Ntajilazimisha hivyohivyo maana Kisasi kitamu bana. Ngoja nianze weekend maana, Wanzuki ya leo hapa Sikonge ni kasheshe kweli kweli na haiwezi kupita bila Mzee wa Wilaya ya Sikonge kuwepo na kuanza kuwaambia wananchi "wakati mie nina CHIA hapa na Mama Muuza, basi na nyie huko CHIANENI wenyewe kwa wenyewe....." Na glass gree......
Zubeda na yeye atakuwa na kazi sana ya kuniambia yeye ni DUME ila pia haitasaidia.
Hata mie huwa ni mtu wa "nguruwe pita" ila kwa Zubeda, itakuwa kulipa KISASI changu cha CCM Kuchakachua.
Ntajilazimisha hivyohivyo maana Kisasi kitamu bana. Ngoja nianze weekend maana, Wanzuki ya leo hapa Sikonge ni kasheshe kweli kweli na haiwezi kupita bila Mzee wa Wilaya ya Sikonge kuwepo na kuanza kuwaambia wananchi "wakati mie nina CHIA hapa na Mama Muuza, basi na nyie huko CHIANENI wenyewe kwa wenyewe....." Na glass gree......
Huko kwa mashoga mkuu nasema Nguruwe pita leo sina mkuki. Kwikwikwi