Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

JamiiForums910725606.jpg
 
Hali mbaya mzee mwenzangu , watoto washenzi hawana adabu hawa Luton
Na epl inazidi kuwa ngumu kila siku ,yaani sasa hivi mule epl Hamna kibonde , ukizubaa unabondwa
Tunajikongoja
Ninyi nyumbu Fc na sisi Kenge fc hamna tofauti , tukubali tu kuwa kwa sasa ni vilema , hamna namna
Tukubali kujitafuta kama asenyetoz walivyojitafuta kwa miaka mingi sasa hivi ndio wameanza kujipata
😃😃😃Gemu zijazo msituangushe bhaa tupigwa wote
 
Man Utd is an amazing club. We just need to work on our short and long passes, ball control, crossing, ball domination, dribbling, defending, sprinting, tackling,goalkeeping, crosses, man marking,positioning,set pieces, through passes, attacking, and scoring goals.
Very few things, au mnaonaje wenzangu.
One thing i am certain,man u tuna wachezaji avarage mno, wanaostahili kuanza ni watatu tu walio baki uza wengine wabaki kutengeneza depth.
Amad,maino, licha staters
Garnacho, bruno, bissaka subs
The rest uza
Hapo unaongela kubadili kikosi kizima maana hayo uliyoyasema kuna watu kama Tominay hawezi kila kitu
 
Mkorea na Hamis77 mmeibukia JF kwenye jukwaa la Mwantesa UTD baada ya kichapo kizito toka kwa West Harm "Wagonga nyundo"?
Sisi tulifanyiwa hujuma na Kuna mkakati maalumu wa kutusimamisha

Majirani zangu, ule msitu ni mkubwa Sana kwenu. Ata mkiomba rematch kesho asubuhi mtakufa tena
 
Man Utd is an amazing club. We just need to work on our short and long passes, ball control, crossing, ball domination, dribbling, defending, sprinting, tackling,goalkeeping, crosses, man marking,positioning,set pieces, through passes, attacking, and scoring goals.
Very few things, au mnaonaje wenzangu.
One thing i am certain,man u tuna wachezaji avarage mno, wanaostahili kuanza ni watatu tu walio baki uza wengine wabaki kutengeneza depth.
Amad,maino, licha staters
Garnacho, bruno, bissaka subs
The rest uza
Yaani kila kitu kuhusu mpira?
 
Back
Top Bottom