Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ila kocha ten hug anauchawi

Hivi kwanini hawamvungishi virago vya mpumbavu mmoja

Kwanza aeleweki anafundisha style gani ya mpira
........nitarudi
 
Tafuteni wachezaji wa kueleweka wachezaji wafuatao hawana sifa za kuvaa badge ya klabu yenu
Onana uzeni
Anthony uzeni
Rashford uzeni
Bruno. Huyu ndo kabisaa hata kuvaa kitambaa hafai uzeni haraka
Garnacho huyo toeni kwa mkopo
Mattominay uzeni
Martial uzeni
Hodjlund uzeni
Casemiro uzeni
Sasa watabaki na nani ,na kocha uzeni
 
Tafuteni wachezaji wa kueleweka wachezaji wafuatao hawana sifa za kuvaa badge ya klabu yenu
Onana uzeni
Anthony uzeni
Rashford uzeni
Bruno. Huyu ndo kabisaa hata kuvaa kitambaa hafai uzeni haraka
Garnacho huyo toeni kwa mkopo
Mattominay uzeni
Martial uzeni
Hodjlund uzeni
Casemiro uzeni
Labda wanunuliwe na IHEFU
 
hamis77 mkorea arsenal2004 wazee tusiwalazie damu hawa nyumbu leo. Maana Arteta kwa sasa atakuwa kavurugwa, anaweza kupoteza game ya kesho yule jamaa. Hawatatuachia.
OIG.K7cD.jpeg
 
Bruno inabidi asitishe mkataba ,hili genge halimtendei haki
Bruno ni gem Ile , akitoka nyumbu Fc atakuwa fire sanaa
 
Back
Top Bottom