Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Bruno inabidi asitishe mkataba ,hili genge halimtendei haki
Bruno ni gem Ile , akitoka nyumbu Fc atakuwa fire sanaa
 
1702630441487.jpg
 
Nadhani kuna mpango mkubwa sana wa kupandisha vijana kutoka kwenye academy. Ukifuatilia utagundua kwa siku za karibuni wanachezeshwa sana vijana wageni. Nadhani mpango wa kuingia sokoni hautakuwepo.
Kwa hiyo na ninyi mmeingia mtego kama blues , kuchezesha vitoto na kutengeneza long term project au sio ?
Mtaiweza inconsistency ya kuchechemea na vipondo mfululizo kama Chelsea tunavyopitia ?
Mna roho ngumu ?
 
Leo kipenga kingechelewa kupulizwa hao Luton wangekubandua na wewe
Hali mbaya mzee mwenzangu , watoto washenzi hawana adabu hawa Luton
Na epl inazidi kuwa ngumu kila siku ,yaani sasa hivi mule epl Hamna kibonde , ukizubaa unabondwa
Tunajikongoja
Ninyi nyumbu Fc na sisi Kenge fc hamna tofauti , tukubali tu kuwa kwa sasa ni vilema , hamna namna
Tukubali kujitafuta kama asenyetoz walivyojitafuta kwa miaka mingi sasa hivi ndio wameanza kujipata
 
Substitute ya Mainoo mpaka sasa sijaielewa.Sijui Mwl alikuwa anataka nini ?.

Wazee wa uchambuzi ebu mteteeni huyu mdachi.
 
Man Utd is an amazing club. We just need to work on our short and long passes, ball control, crossing, ball domination, dribbling, defending, sprinting, tackling,goalkeeping, crosses, man marking,positioning,set pieces, through passes, attacking, and scoring goals.
Very few things, au mnaonaje wenzangu.
One thing i am certain,man u tuna wachezaji avarage mno, wanaostahili kuanza ni watatu tu walio baki uza wengine wabaki kutengeneza depth.
Amad,maino, licha staters
Garnacho, bruno, bissaka subs
The rest uza
 
Back
Top Bottom