Bora wameachia maswala ya football...Wale virusi glazers bado wataendelea kubunya tu
Solution ni kuuza wachezaji wote, waombe kujitoa kwenye ligi, warudi baada ya miaka 10.
Hamna spirit za Rio Ferdinand ,Vidik , John Terri nk beki zenye roho nyeusi zimepotea epl ,wamebaki watoto nyoronyoro tu wanaruka ruka kama ngedereMnaliwa kimasikhara![]()
Na INEOS wamesema yupo kwenye mopango yaoIla kocha ten hug anauchawi
Hivi kwanini hawamvungishi virago vya mpumbavu mmoja
Kwanza aeleweki anafundisha style gani ya mpira
........nitarudi
Sasa watabaki na nani ,na kocha uzeniTafuteni wachezaji wa kueleweka wachezaji wafuatao hawana sifa za kuvaa badge ya klabu yenu
Onana uzeni
Anthony uzeni
Rashford uzeni
Bruno. Huyu ndo kabisaa hata kuvaa kitambaa hafai uzeni haraka
Garnacho huyo toeni kwa mkopo
Mattominay uzeni
Martial uzeni
Hodjlund uzeni
Casemiro uzeni
Manundu Fc kama kawaida yenu , kiwanda cha kugawa points
Nyumbu kabisa
Ina sikitisha Sana timu matokeo ya machale inauma sana.Na INEOS wamesema yupo kwenye mopango yao
Labda wanunuliwe na IHEFUTafuteni wachezaji wa kueleweka wachezaji wafuatao hawana sifa za kuvaa badge ya klabu yenu
Onana uzeni
Anthony uzeni
Rashford uzeni
Bruno. Huyu ndo kabisaa hata kuvaa kitambaa hafai uzeni haraka
Garnacho huyo toeni kwa mkopo
Mattominay uzeni
Martial uzeni
Hodjlund uzeni
Casemiro uzeni
hamis77 mkorea arsenal2004 wazee tusiwalazie damu hawa nyumbu leo. Maana Arteta kwa sasa atakuwa kavurugwa, anaweza kupoteza game ya kesho yule jamaa. Hawatatuachia.
Tungojee kwakuwa wengi walisema tatizo la Man U ni kubwa kuliko tunavyolijua..Ina sikitisha Sana timu matokeo ya machale inauma sana.
Leo kipenga kingechelewa kupulizwa hao Luton wangekubandua na wewe😂😂 Mmebanduliwa