OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,931
- 25,245
Hahahahahahahaha😂😂😂😂😂
Kwani me ndo nalipwaaShikilia wewe


timu inalipaaa watu wachezeee wanaleta ungeseeee...!!Sorry mkuu. Top 4 ya msimu upi unazungumzia hapa. Yaani kama unamaanisha 23/24 utakuwa unaota, tena ndoto za mchana.%Timu ilikaba vizuri mno
%Kiungo kilitulizwa na mtoto wa miaka 19 na mzee wa mapigo ya moyo ericksen. Bruno kazi kulalama tuu (tunahitaji no 10 mzuri aje ampe changamoto)
%beki ilitulia kwa sababu wachezaji wote walikaba njia na ku track back mipira bila kutegea, hence pressure ikawa ndogo kwa beki zetu nzee.
%wote tumeona kama tuna winger zenye power na aggression basi wapinzani hawataleta timu uwanjani, bahati mbaya winger zetu zinapata hizo character kila baada ya mechi 10(sad truth)
Tukiendelea hivi na ericksen akiwa fit kipindi tunatafuta sokoni midfield yenye passing ability na kusoma mchezo effectively, top four coming soon.
Mengine ntaenda kujadili kwenye kijiwe cha kahawa
Sijui unaangalia ligi ya msimu huu au upo na marudio ya msimu 2021-2022.Sorry mkuu. Top 4 ya msimu upi unazungumzia hapa. Yaani kama unamaanisha 23/24 utakuwa unaota, tena ndoto za mchana.
)iwake jua, inyeshe mvua, hamwezi kumaliza juu ya Villa, spurs, westham united na brighton. Mkipata hata comferrence league basi mtakuwa na upepo wa jini.
Sijataja liverpool, Arsenal, city maana hao sio viwango vyenu kabisa.
Mna mechi kama tano za kudundwa tena mzunguko wa pili....mna kikundi cha wakimbiaji sio timu ileSijui unaangalia ligi ya msimu huu au upo na marudio ya msimu 2021-2022.
Ninachokiona, timu zote kuanzia timu inayo ongoza zina matokeo ya kusua sua, wakipata injury moja au mbili ndio kabisaa, meanwhile man u imekua na injury karibu first team yote ila bado iko pale, muda wowote tukiwa na at least robo tatu ya squad iliyo fit, sioni timu inayosimama mbele yetu, sio man shit, gayguners, rottenham wala liverfool au hivyo vi boobston.
Top four is the least i can think of, hata ubingwa bado ni mweupe.
Kupoteza mechi kwenye epl ni kama kifo, kila mtu atakufa, sasa wewe arsenal hapo ulipo hauna guarantee ya kushinda mechi 6 mfululizo na unanisema mimiMna mechi kama tano za kudundwa tena mzunguko wa pili....mna kikundi cha wakimbiaji sio timu ile
Mkui hapa umeongea kweli japo ni chungu, ila kwangu naamini kua chungu ndio iponyeshayo.Nyumbu kwa sasa mshashuka standard. Kila mechi kwenu ni big match!
From the world of john wickView attachment 2854245
Kuna kubwa jinga lilitandikwa bila ya on target na huyu jamaa.
Guardiola akitokewa
Ubingwa hauji kwabkulia wala kuonesha sura ya huruma.
Mpk ligi inaisha hatuwezi kufungwa mechi nyingi kama nyny...hlo suala Sahau....Fuente baada ya mechi ya Villa mlivyopiga papatu pale OT alikuja kutubwekea kule jukwaani kwetu nikamwambia naangalia ratiba yenu mechi tatu zijazo....kimeshawaka tena....probability ya nyny kushinda ugenini ni ndogo sana....mna kikosi dhaifu sana ila kwakuwa ni mashabiki mnaamua kujitoa akili....mnahutaji wachezaji si chini ya sita ili muanze tena kutoa ushindani....ila kwa sasa haya ndo yatakuwa maisha yenuKupoteza mechi kwenye epl ni kama kifo, kila mtu atakufa, sasa wewe arsenal hapo ulipo hauna guarantee ya kushinda mechi 6 mfululizo na unanisema mimi
Wewe na kikosi chako imara kila ikifika mechi ya kuchukua point 3 za muhimu unapoteza, labda uimara wako ndio udhaifu wako.Mpk ligi inaisha hatuwezi kufungwa mechi nyingi kama nyny...hlo suala Sahau....Fuente baada ya mechi ya Villa mlivyopiga papatu pale OT alikuja kutubwekea kule jukwaani kwetu nikamwambia naangalia ratiba yenu mechi tatu zijazo....kimeshawaka tena....probability ya nyny kushinda ugenini ni ndogo sana....mna kikosi dhaifu sana ila kwakuwa ni mashabiki mnaamua kujitoa akili....mnahutaji wachezaji si chini ya sita ili muanze tena kutoa ushindani....ila kwa sasa haya ndo yatakuwa maisha yenu
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hahahaha hahaaaaaaaaaaaaFrom the world of john wick