Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

%Timu ilikaba vizuri mno
%Kiungo kilitulizwa na mtoto wa miaka 19 na mzee wa mapigo ya moyo ericksen. Bruno kazi kulalama tuu (tunahitaji no 10 mzuri aje ampe changamoto)
%beki ilitulia kwa sababu wachezaji wote walikaba njia na ku track back mipira bila kutegea, hence pressure ikawa ndogo kwa beki zetu nzee.
%wote tumeona kama tuna winger zenye power na aggression basi wapinzani hawataleta timu uwanjani, bahati mbaya winger zetu zinapata hizo character kila baada ya mechi 10(sad truth)

Tukiendelea hivi na ericksen akiwa fit kipindi tunatafuta sokoni midfield yenye passing ability na kusoma mchezo effectively, top four coming soon.

Mengine ntaenda kujadili kwenye kijiwe cha kahawa
Sorry mkuu. Top 4 ya msimu upi unazungumzia hapa. Yaani kama unamaanisha 23/24 utakuwa unaota, tena ndoto za mchana.
)iwake jua, inyeshe mvua, hamwezi kumaliza juu ya Villa, spurs, westham united na brighton. Mkipata hata comferrence league basi mtakuwa na upepo wa jini.
Sijataja liverpool, Arsenal, city maana hao sio viwango vyenu kabisa.
 
Sorry mkuu. Top 4 ya msimu upi unazungumzia hapa. Yaani kama unamaanisha 23/24 utakuwa unaota, tena ndoto za mchana.
)iwake jua, inyeshe mvua, hamwezi kumaliza juu ya Villa, spurs, westham united na brighton. Mkipata hata comferrence league basi mtakuwa na upepo wa jini.
Sijataja liverpool, Arsenal, city maana hao sio viwango vyenu kabisa.
Sijui unaangalia ligi ya msimu huu au upo na marudio ya msimu 2021-2022.

Ninachokiona, timu zote kuanzia timu inayo ongoza zina matokeo ya kusua sua, wakipata injury moja au mbili ndio kabisaa, meanwhile man u imekua na injury karibu first team yote ila bado iko pale, muda wowote tukiwa na at least robo tatu ya squad iliyo fit, sioni timu inayosimama mbele yetu, sio man shit, gayguners, rottenham wala liverfool au hivyo vi boobston.
Top four is the least i can think of, hata ubingwa bado ni mweupe.
 
Tukubali tu alichopitia Liverpool na sisi lazima tupitie kukaa miaka 20 bila ubingwa🙌🙌🙌🙌🙌🙌
 
Sijui unaangalia ligi ya msimu huu au upo na marudio ya msimu 2021-2022.

Ninachokiona, timu zote kuanzia timu inayo ongoza zina matokeo ya kusua sua, wakipata injury moja au mbili ndio kabisaa, meanwhile man u imekua na injury karibu first team yote ila bado iko pale, muda wowote tukiwa na at least robo tatu ya squad iliyo fit, sioni timu inayosimama mbele yetu, sio man shit, gayguners, rottenham wala liverfool au hivyo vi boobston.
Top four is the least i can think of, hata ubingwa bado ni mweupe.
Mna mechi kama tano za kudundwa tena mzunguko wa pili....mna kikundi cha wakimbiaji sio timu ile
 
Mna mechi kama tano za kudundwa tena mzunguko wa pili....mna kikundi cha wakimbiaji sio timu ile
Kupoteza mechi kwenye epl ni kama kifo, kila mtu atakufa, sasa wewe arsenal hapo ulipo hauna guarantee ya kushinda mechi 6 mfululizo na unanisema mimi
 
Nyumbu kwa sasa mshashuka standard. Kila mechi kwenu ni big match!
Mkui hapa umeongea kweli japo ni chungu, ila kwangu naamini kua chungu ndio iponyeshayo.
Huku mtaani nilitofautiana na watu ile siku tumetoa sare na Liver pool.

Kuna watu walishangilia sare utadhani tumechukua ubingwa wa UCL.

Hakika chama langu linapitia mateso.
 
Ubingwa hauji kwabkulia wala kuonesha sura ya huruma.
1704009140946.png
 
Kupoteza mechi kwenye epl ni kama kifo, kila mtu atakufa, sasa wewe arsenal hapo ulipo hauna guarantee ya kushinda mechi 6 mfululizo na unanisema mimi
Mpk ligi inaisha hatuwezi kufungwa mechi nyingi kama nyny...hlo suala Sahau....Fuente baada ya mechi ya Villa mlivyopiga papatu pale OT alikuja kutubwekea kule jukwaani kwetu nikamwambia naangalia ratiba yenu mechi tatu zijazo....kimeshawaka tena....probability ya nyny kushinda ugenini ni ndogo sana....mna kikosi dhaifu sana ila kwakuwa ni mashabiki mnaamua kujitoa akili....mnahutaji wachezaji si chini ya sita ili muanze tena kutoa ushindani....ila kwa sasa haya ndo yatakuwa maisha yenu
 
Kama shabiki naumia sana kuona tunapitia haya ila nkikumbuka mapito ya Liverfools na Arsenyeto natambua kuwa sasa ni zamu yetu na hivyo niwe mwelewa na mvumilivu tu. Kuna ule ukweli kwamba hakuna atakayesalia juu milele na kupanda na kushuka ni kawaida.
 
Mpk ligi inaisha hatuwezi kufungwa mechi nyingi kama nyny...hlo suala Sahau....Fuente baada ya mechi ya Villa mlivyopiga papatu pale OT alikuja kutubwekea kule jukwaani kwetu nikamwambia naangalia ratiba yenu mechi tatu zijazo....kimeshawaka tena....probability ya nyny kushinda ugenini ni ndogo sana....mna kikosi dhaifu sana ila kwakuwa ni mashabiki mnaamua kujitoa akili....mnahutaji wachezaji si chini ya sita ili muanze tena kutoa ushindani....ila kwa sasa haya ndo yatakuwa maisha yenu
Wewe na kikosi chako imara kila ikifika mechi ya kuchukua point 3 za muhimu unapoteza, labda uimara wako ndio udhaifu wako.

Imagine sub za kukupa matokeo timu inapo zidiwa ni nelson, nketiah, smith rowe🤣 kama kuna timu ina avarage players basi ni gayguners
Screenshot_20231231-130041_1.jpg
 
Back
Top Bottom