Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kama shabiki naumia sana kuona tunapitia haya ila nkikumbuka mapito ya Liverfools na Arsenyeto natambua kuwa sasa ni zamu yetu na hivyo niwe mwelewa na mvumilivu tu. Kuna ule ukweli kwamba hakuna atakayesalia juu milele na kupanda na kushuka ni kawaida.
 
Mpk ligi inaisha hatuwezi kufungwa mechi nyingi kama nyny...hlo suala Sahau....Fuente baada ya mechi ya Villa mlivyopiga papatu pale OT alikuja kutubwekea kule jukwaani kwetu nikamwambia naangalia ratiba yenu mechi tatu zijazo....kimeshawaka tena....probability ya nyny kushinda ugenini ni ndogo sana....mna kikosi dhaifu sana ila kwakuwa ni mashabiki mnaamua kujitoa akili....mnahutaji wachezaji si chini ya sita ili muanze tena kutoa ushindani....ila kwa sasa haya ndo yatakuwa maisha yenu
Wewe na kikosi chako imara kila ikifika mechi ya kuchukua point 3 za muhimu unapoteza, labda uimara wako ndio udhaifu wako.

Imagine sub za kukupa matokeo timu inapo zidiwa ni nelson, nketiah, smith rowe🤣 kama kuna timu ina avarage players basi ni gayguners
Screenshot_20231231-130041_1.jpg
 
Sijui unaangalia ligi ya msimu huu au upo na marudio ya msimu 2021-2022.

Ninachokiona, timu zote kuanzia timu inayo ongoza zina matokeo ya kusua sua, wakipata injury moja au mbili ndio kabisaa, meanwhile man u imekua na injury karibu first team yote ila bado iko pale, muda wowote tukiwa na at least robo tatu ya squad iliyo fit, sioni timu inayosimama mbele yetu, sio man shit, gayguners, rottenham wala liverfool au hivyo vi boobston.
Top four is the least i can think of, hata ubingwa bado ni mweupe.
Una imani ya kuamisha mlima kabisaaa sio kwa ujasiri huu. Mna team mbovu sana mnaitaji muda kuwa bora ila sio ndani ya msimu huu
 
Una imani ya kuamisha mlima kabisaaa sio kwa ujasiri huu. Mna team mbovu sana mnaitaji muda kuwa bora ila sio ndani ya msimu huu
Twende taratibu sheikh, timu mbovu zipo kuanzia nafasi ya Chelsea kushuka chini, sisi wengine ubingwa bado uko bwelelee/bong'oo
 
Sijui unaangalia ligi ya msimu huu au upo na marudio ya msimu 2021-2022.

Ninachokiona, timu zote kuanzia timu inayo ongoza zina matokeo ya kusua sua, wakipata injury moja au mbili ndio kabisaa, meanwhile man u imekua na injury karibu first team yote ila bado iko pale, muda wowote tukiwa na at least robo tatu ya squad iliyo fit, sioni timu inayosimama mbele yetu, sio man shit, gayguners, rottenham wala liverfool au hivyo vi boobston.
Top four is the least i can think of, hata ubingwa bado ni mweupe.
acha mihadarati
 
Wewe na kikosi chako imara kila ikifika mechi ya kuchukua point 3 za muhimu unapoteza, labda uimara wako ndio udhaifu wako.

Imagine sub za kukupa matokeo timu inapo zidiwa ni nelson, nketiah, smith rowe🤣 kama kuna timu ina avarage players basi ni gaygunersView attachment 2858359
Ww una sub gani Sasa ya kukupa matokeo🤠🤠🤠...jana si ameingia mzee mzima Mc Tominay kubadilisha mambo...nn kimetokea....endelea kukaza kichwa....kuna timu ukikutana nazo tena ndogo tu mtakuja kutukana tena hmu...Luton Town, masela zake Wolves...hzo zte mnakandwa....bdo timu kubwa hazijaja kiwapasua...mna hali mbaya...kuwacheka tumechoka
 
Adui wa Varane ni miguu yake na si kiwango chake.

BREAKING:

#mufc have decided against triggering an option to extend Raphael Varane's contract by 12 months, leaving the defender free to hold talks with foreign clubs over a summer transfer from tomorrow.
 
Back
Top Bottom