ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 5,549
- 7,987
Umepigwa tayariNgojea hiki kiten nicheze live
Manchester United vs Aston villa
Draw(2-2)
Umepigwa tayariNgojea hiki kiten nicheze live
Manchester United vs Aston villa
Draw(2-2)
+ Isak Hansen Aaroensen & Amir IbragimovNatumai siku moja nitamuona shey lacey chini ya kipara.
Dah 😅Mpira wa leo umepigwa kweli kweli, imebidi nitoke mafichoni.
Vipi iliisha 3-3?Mnaona hizo Sub zinazoletwa na ETH, game inaisha 3-3 nimekaa pale.
Kumbe wew ndio mjingaMuhimu zisifike tano
Ni mjinga pekee ambae anaamini Man U ni ingeshinda mbele ya Villa ya Unai
Perfect result. ETH keeps his job and Villa drop 3 points.View attachment 2854234
Unakata tamaa mapema sanaHuu ndiyo wakati sahihi wa EtH kuonyeshwa mlango wa kutokea.
1. Kaharibu hali ya hewa pale Carrington, kila mchezaji anagombana naye.
Naamini INEOS wana mtu wao tayari, huyu apewe tu barua watafute caretaker amalizie msimu.
Mdau uliona mbaliMan U tupo vizuri,tunachomoa goli zote hizo na la Tatu tunaongeza,tulieni wanangu wa Man U,dimba tumelishika hili
Ukishakuwa na DNA za Arsenal OT panakuwa pagumu kwako😃View attachment 2854245
Kuna kubwa jinga lilitandikwa bila ya on target na huyu jamaa.
Guardiola akitokewa
%Timu ilikaba vizuri mno
%Kiungo kilitulizwa na mtoto wa miaka 19 na mzee wa mapigo ya moyo ericksen. Bruno kazi kulalama tuu (tunahitaji no 10 mzuri aje ampe changamoto)
%beki ilitulia kwa sababu wachezaji wote walikaba njia na ku track back mipira bila kutegea, hence pressure ikawa ndogo kwa beki zetu nzee.
%wote tumeona kama tuna winger zenye power na aggression basi wapinzani hawataleta timu uwanjani, bahati mbaya winger zetu zinapata hizo character kila baada ya mechi 10(sad truth)
Tukiendelea hivi na ericksen akiwa fit kipindi tunatafuta sokoni midfield yenye passing ability na kusoma mchezo effectively, top four coming soon.
Mengine ntaenda kujadili kwenye kijiwe cha kahawa