Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nakumbuka mechi ya Fulham au Burnley goli letu mfano wa hili tulilofungwa (goli la kwanza) lilikataliwa, nafikiri mfungaji alikuwa ni Maguire
 
Huu ndiyo wakati sahihi wa EtH kuonyeshwa mlango wa kutokea.

1. Kaharibu hali ya hewa pale Carrington, kila mchezaji anagombana naye.

Naamini INEOS wana mtu wao tayari, huyu apewe tu barua watafute caretaker amalizie msimu.
 
Back
Top Bottom