Abby Uladu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 2,241
- 4,644
Daah yaani inafikia hatua Hadi kitayose tunaiyona Bora daahUsifananishe F.C KITAYOSE na vitu vya ajabu ajabu
Daah yaani inafikia hatua Hadi kitayose tunaiyona Bora daahUsifananishe F.C KITAYOSE na vitu vya ajabu ajabu
Daah inaumiza mnoNikuhakikishie Upara anamaliza msimu bila kufukuzwa na mtu yoyote LABDA ajiuzulu AU Sir Jim amkatae
Timu za EPL ngumu sana kufanya maamuzi ya kufukuza kocha Sio NBC PL ile hata vila wakishinda 7-0 ETH hafukuzwi na mtuu
Leo akili zimemkaa sawa
Ndio hivyo inabidi tuzoee Timu imeoza Glazzer badala ya kumpa Muarabu kampa tapeli mwenzie waendelee kula maokotoDaah inaumiza mno
Wewe hayo magoli waliyokosaa unaona ndo kucheza vizurii??? Hivi una akili timamu???Man U leo imecheza vizuri sana
Man U tupo vizuri,tunachomoa goli zote hizo na la Tatu tunaongeza,tulieni wanangu wa Man U,dimba tumelishika hiliWewe hayo magoli waliyokosaa unaona ndo kucheza vizurii??? Hivi una akili timamu???
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wacha MB zangu nikazimalizie youtube niangalia Britain got talent.
Kama foward ndo hizii ni kufukuzaaa woteeSolution ni nini kwa Manchester United?kumfukuza coach or kusajili tena?
Wavunje timu yte...wajitoe ligi kuu....wasajili upya watu🤠🤠🤠....Sasa kama raundi ya 1 ndo wamebutuliwa hivi raundi ya 2 kipindi watu wanaitaka nafasi zao...wengine ubingwa...wengine UEFA...wengine wasishuke daraja si ndo watafedheheshwa kabisa Hawa....wajitoe...kuanza upya sio ujinga mjomba...alisema MpotoSolution ni nini kwa Manchester United?kumfukuza coach or kusajili tena?