Mimi bado nina imani naye.Huu ndiyo wakati sahihi wa EtH kuonyeshwa mlango wa kutokea.
1. Kaharibu hali ya hewa pale Carrington, kila mchezaji anagombana naye.
Naamini INEOS wana mtu wao tayari, huyu apewe tu barua watafute caretaker amalizie msimu.
Watu kama Hawa wakiwa karibu natembeza vibao tuWewe hayo magoli waliyokosaa unaona ndo kucheza vizurii??? Hivi una akili timamu???
Una Maanisha au?Man U tupo vizuri,tunachomoa goli zote hizo na la Tatu tunaongeza,tulieni wanangu wa Man U,dimba tumelishika hili
Wewe huoni Pira linavyotembea,tuna imani na Kocha wetuUna Maanisha au?
Hizo offside unaziona? Maana leo Aston Villa wamewin sana kuweka mtego wa offside.Mechi sare hii tunapiga la pili
Ngoma bado mbichi. Ngoja tuoneJaman mpira unadunda duuh siamin
Nilikwambia Half Time utulie tunachomoa na kuongeza la tatu,tatizo mnawashwawashwa sana vijana!!tuna imani na Kocha wetuJaman mpira unadunda duuh siamin