Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Daah asee baada ya mechi hii kama tutafungwa

Kipara asipo ondoka jamaa atakuwa anauchawi duuh
Timu inacheza kama kitayose daaah

Pumbavu
 
Muhimu zisifike tano
Ni mjinga pekee ambae anaamini Man U ni ingeshinda mbele ya Villa ya Unai
 
Foward zinacheza utumboooo tuuu.. Huyu Ganarcho anakatwaa na wachawiiiii[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35] Mamaeee admin futa uziiii...
 
Daah asee baada ya mechi hii kama tutafungwa

Kipara asipo ondoka jamaa atakuwa anauchawi duuh
Timu inacheza kama kitayose daaah

Pumbavu
Nikuhakikishie Upara anamaliza msimu bila kufukuzwa na mtu yoyote LABDA ajiuzulu AU Sir Jim amkatae

Timu za EPL ngumu sana kufanya maamuzi ya kufukuza kocha Sio NBC PL ile hata vila wakishinda 7-0 ETH hafukuzwi na mtuu
 
Back
Top Bottom