Anigrain
JF-Expert Member
- Nov 15, 2020
- 1,698
- 4,284
Pamoja MkuuMkuu mi sijawahi kuwa na app huwa naingia kwa njia ya kawaida tu....naropoka weee nikimaliza na log out....nikitaka kurudi na ku comment na log in tena....ndo yamekuwa maisha yangu hayo...labda wnye app na huo ufahamu wakusaidie mkuu

we jamaaa asenyo hawana kibunda saiv