Dah 😅Mpira wa leo umepigwa kweli kweli, imebidi nitoke mafichoni.
Dah 😅Mpira wa leo umepigwa kweli kweli, imebidi nitoke mafichoni.
Vipi iliisha 3-3?Mnaona hizo Sub zinazoletwa na ETH, game inaisha 3-3 nimekaa pale.
Kumbe wew ndio mjingaMuhimu zisifike tano
Ni mjinga pekee ambae anaamini Man U ni ingeshinda mbele ya Villa ya Unai
Perfect result. ETH keeps his job and Villa drop 3 points.View attachment 2854234
Unakata tamaa mapema sanaHuu ndiyo wakati sahihi wa EtH kuonyeshwa mlango wa kutokea.
1. Kaharibu hali ya hewa pale Carrington, kila mchezaji anagombana naye.
Naamini INEOS wana mtu wao tayari, huyu apewe tu barua watafute caretaker amalizie msimu.
Mdau uliona mbaliMan U tupo vizuri,tunachomoa goli zote hizo na la Tatu tunaongeza,tulieni wanangu wa Man U,dimba tumelishika hili
Ukishakuwa na DNA za Arsenal OT panakuwa pagumu kwako😃View attachment 2854245
Kuna kubwa jinga lilitandikwa bila ya on target na huyu jamaa.
Guardiola akitokewa
%Timu ilikaba vizuri mno
%Kiungo kilitulizwa na mtoto wa miaka 19 na mzee wa mapigo ya moyo ericksen. Bruno kazi kulalama tuu (tunahitaji no 10 mzuri aje ampe changamoto)
%beki ilitulia kwa sababu wachezaji wote walikaba njia na ku track back mipira bila kutegea, hence pressure ikawa ndogo kwa beki zetu nzee.
%wote tumeona kama tuna winger zenye power na aggression basi wapinzani hawataleta timu uwanjani, bahati mbaya winger zetu zinapata hizo character kila baada ya mechi 10(sad truth)
Tukiendelea hivi na ericksen akiwa fit kipindi tunatafuta sokoni midfield yenye passing ability na kusoma mchezo effectively, top four coming soon.
Mengine ntaenda kujadili kwenye kijiwe cha kahawa
Usisahau kwamba personality ndio imewaondoa the likes of Beckham, Pogba, sancho, ronaldo (japo case zao zilikuwa tofauti na hii ya bruno). Mchezaji anapo lalamika sana ana justfy matokeo yoyote huku akitupa lawama kwa lugha ya mwili kwa waamuzi, tunahitaji no 10 ambaye ni ball dancer and chance creator.Bila Bruno hakuna goli ungepata acha kuangalia personality ya mtu, angalia anacho deliver uwanjan ni kipi
Well saidUsisahau kwamba personality ndio imewaondoa the likes of Beckham, Pogba, sancho, ronaldo (japo case zao zilikuwa tofauti na hii ya bruno). Mchezaji anapo lalamika sana ana justfy matokeo yoyote huku akitupa lawama kwa lugha ya mwili kwa waamuzi, tunahitaji no 10 ambaye ni ball dancer and chance creator.
Hata hivyo kukuthibitishia kuwa captain wako ana mdomo sana licha ya kuwa na mchango mzuri, track back kadi zake nyingi za njano ni za kuropoka kwa mwamuzi. Sikuona hii hali kwa ma captain wengine wa timu yetu.
Pia usisahau magoli yamepatikana kwa team effort, sio maajabu ya bruno 100%

