Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Angalau kidogo tumejiita idy.
Chamsingi vijana waendelee kukaza angalau tumalize ndani ya big 4.
 
Villa na Spurs ni upepo tu kama wa Newcastle ukikatika pale juu wanatoka City na Man U wanamaliza Top 4
.Shida inakuja kwa Liva na Aseno ambao wanachuana vikali...
 
Embu ntajie uyo namba 10 ambaye ni ball dancer na chance creator anaemzidi Bruno sasa PL??
Sijui kwenye comment zangu ni wapi umeona nimesema tunahitaji zaidi ya bruno?
Ninasisitiza, apatikane atakae mpa changamoto, aache malalamishi apige kazi, good is not good enough if a player is in the position to do better.
 
Ni vile ETH ni mtu wa Rotation hatabiriki ila hii Combo ya Rash+Garnacho+Houjlund ni hatati sana kama angetulia nayo akaifua vizuri watakichafua sana
Ttaizo kwenye hiyo combo ni kiwango cha Rashford kutokutabirika. Kwa mara ya kwanza nimeona jamaa akicheza kitimu zaidi pamoja na kwamba bado alikuwa na umimi fulani baadhi ya nyakati.
 
Kusema kweli kwa asilimia kubwa leo timu imecheza vizuri ukiachana na matokeo chanya. Sijui watu wanalalamika tumecheza vibaya waliangalia game ipi.
Kiungo ya united inamuhitaji eriksen mzee na mwenye matatizo ya moyo kwanza kabla ya chaguo lingine lolote pale kati.
Hawa marefarii nao wameishatuzoea kuwa tu wabovu ndio maana maamuzi mengi sana yamekuwa dhidi yetu yakituumiza.
Garnacho jana kacheza kiume na ameacha utoto wake na ndiye alisisimua morali ya timu kupambana.
 
Ttaizo kwenye hiyo combo ni kiwango cha Rashford kutokutabirika. Kwa mara ya kwanza nimeona jamaa akicheza kitimu zaidi pamoja na kwamba bado alikuwa na umimi fulani baadhi ya nyakati.
20230922_152233.jpg

Tuipe muda hii Trior inakitu...
 
Thanks to Rasmus hojlund for his first goal in PL
and Aleandro gernacho goals

In a boxing day gift win

Christmas is over now vila, gunners and scoursers decorations are coming down

And red devil's can turn things around from setback


Wishing all reds out there a CHRISTMAS EXHAUSTION after a wonderful boxing day

Next
Bring up the tricky [emoji268] trees NF
 
Kwa sasa jukwaa la Arsenal na Liverpool kila wakifungwa au kutoa droo wanakimbilia kumlaumu kocha na kutamani kuongeza mchezaji kwenye kikosi chao, ila hali ni tofauti kwa United. Tuko kimya sana kwenye masuala ya usajili wa dirisha dogo utadhani tunaongoza ligi sisi.
Ila 10Hag ni TACTICIAN mzuri kuliko arteta.
 
Kwa sasa jukwaa la Arsenal na Liverpool kila wakifungwa au kutoa droo wanakimbilia kumlaumu kocha na kutamani kuongeza mchezaji kwenye kikosi chao, ila hali ni tofauti kwa United. Tuko kimya sana kwenye masuala ya usajili wa dirisha dogo utadhani tunaongoza ligi sisi.
Ila 10Hag ni TACTICIAN mzuri kuliko arteta.
Hatujui sir Jim atakujaje
Screenshot_20231227-151843.png
 
Kwa sasa jukwaa la Arsenal na Liverpool kila wakifungwa au kutoa droo wanakimbilia kumlaumu kocha na kutamani kuongeza mchezaji kwenye kikosi chao, ila hali ni tofauti kwa United. Tuko kimya sana kwenye masuala ya usajili wa dirisha dogo utadhani tunaongoza ligi sisi.
Ila 10Hag ni TACTICIAN mzuri kuliko arteta.
Mbona unakua muongo muongo sana mkuu🤠🤠...hii tabia nani kakufundisha
 
Kwa sasa jukwaa la Arsenal na Liverpool kila wakifungwa au kutoa droo wanakimbilia kumlaumu kocha na kutamani kuongeza mchezaji kwenye kikosi chao, ila hali ni tofauti kwa United. Tuko kimya sana kwenye masuala ya usajili wa dirisha dogo utadhani tunaongoza ligi sisi.
Ila 10Hag ni TACTICIAN mzuri kuliko arteta.
Hapo umeandikiwa au umeandika mwenyewe
 
%Timu ilikaba vizuri mno
%Kiungo kilitulizwa na mtoto wa miaka 19 na mzee wa mapigo ya moyo ericksen. Bruno kazi kulalama tuu (tunahitaji no 10 mzuri aje ampe changamoto)
%beki ilitulia kwa sababu wachezaji wote walikaba njia na ku track back mipira bila kutegea, hence pressure ikawa ndogo kwa beki zetu nzee.
%wote tumeona kama tuna winger zenye power na aggression basi wapinzani hawataleta timu uwanjani, bahati mbaya winger zetu zinapata hizo character kila baada ya mechi 10(sad truth)

Tukiendelea hivi na ericksen akiwa fit kipindi tunatafuta sokoni midfield yenye passing ability na kusoma mchezo effectively, top four coming soon.

Mengine ntaenda kujadili kwenye kijiwe cha kahawa
Umeongea kwa akili kubwa sana mkuu kacnia Bruno ni tatizo kubwa kwa sasa. Nikikumbuka zile faulo mbili za hovyo alifanya kwenye uefa na zote zikazaa magoli tukaondolewa na juzi kwa Aston Villa kafamyavtena faulo wakapata goli la kwanza. Huyo mtoto wa miaka 19 anacheza dakika 80 na hasababishi faulo yoyote.
 
Back
Top Bottom