kacnia
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 4,026
- 15,817
Usisahau kwamba personality ndio imewaondoa the likes of Beckham, Pogba, sancho, ronaldo (japo case zao zilikuwa tofauti na hii ya bruno). Mchezaji anapo lalamika sana ana justfy matokeo yoyote huku akitupa lawama kwa lugha ya mwili kwa waamuzi, tunahitaji no 10 ambaye ni ball dancer and chance creator.Bila Bruno hakuna goli ungepata acha kuangalia personality ya mtu, angalia anacho deliver uwanjan ni kipi
Hata hivyo kukuthibitishia kuwa captain wako ana mdomo sana licha ya kuwa na mchango mzuri, track back kadi zake nyingi za njano ni za kuropoka kwa mwamuzi. Sikuona hii hali kwa ma captain wengine wa timu yetu.
Pia usisahau magoli yamepatikana kwa team effort, sio maajabu ya bruno 100%


trees NF