Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Muhimu zisifike tano
Ni mjinga pekee ambae anaamini Man U ni ingeshinda mbele ya Villa ya Unai
 
Foward zinacheza utumboooo tuuu.. Huyu Ganarcho anakatwaa na wachawiiiii Mamaeee admin futa uziiii...
 
Daah asee baada ya mechi hii kama tutafungwa

Kipara asipo ondoka jamaa atakuwa anauchawi duuh
Timu inacheza kama kitayose daaah

Pumbavu
Nikuhakikishie Upara anamaliza msimu bila kufukuzwa na mtu yoyote LABDA ajiuzulu AU Sir Jim amkatae

Timu za EPL ngumu sana kufanya maamuzi ya kufukuza kocha Sio NBC PL ile hata vila wakishinda 7-0 ETH hafukuzwi na mtuu
 
Nikuhakikishie Upara anamaliza msimu bila kufukuzwa na mtu yoyote LABDA ajiuzulu AU Sir Jim amkatae

Timu za EPL ngumu sana kufanya maamuzi ya kufukuza kocha Sio NBC PL ile hata vila wakishinda 7-0 ETH hafukuzwi na mtuu
Daah inaumiza mno
 
Emery Unai
Eddie Howe
Antonio Conte
Jose Mourinho
Ernesto Valverde
Massimiliano Allegri
Sean Dyche

Elezea tabia zao kwa kuangalia zaidi muelekeo wa soka kwa wakati huu na ujao.

Kuna tabia wanafanana
 
Solution ni nini kwa Manchester United?kumfukuza coach or kusajili tena?
Wavunje timu yte...wajitoe ligi kuu....wasajili upya watu🤠🤠🤠....Sasa kama raundi ya 1 ndo wamebutuliwa hivi raundi ya 2 kipindi watu wanaitaka nafasi zao...wengine ubingwa...wengine UEFA...wengine wasishuke daraja si ndo watafedheheshwa kabisa Hawa....wajitoe...kuanza upya sio ujinga mjomba...alisema Mpoto
 
Back
Top Bottom