Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sky Sports chief reporter Kaveh Solhekhol, the Manchester Evening News' chief Manchester United correspondent Samuel Luckhurst, The Mirror's David McDonnell and Rob Dawson of ESPN have all been blocked from joining Ten Hag’s press conference this afternoon
 
Bado amja mtaka zidane ? Uzuri wa kufundishwa na kocha anae jua na mwenye mafanikio kuliko pimbi zote za first eleven ya nyumbu
 
Bado amja mtaka zidane ? Uzuri wa kufundishwa na kocha anae jua na mwenye mafanikio kuliko pimbi zote za first eleven ya nyumbu
Zidane alisema anasubiri ofa kutoka timu inayotaka kushinda na yenye uwezo wa kushinda.

Ukiitazama Nyumbu FC vizuri unaona ni timu yenye watu na mazingira ya kuwezesha hilo?
 
Acha uongo Ally Pipi ,Arsenal hata tukisare mnakuja Kama mafuriko


Kwa Chelsea na Liverpool nakubali kabisa wanaishi kwa amani Sana ,hata wakiwa ovyo

Angalau Chelsea kidogo wanashtuliwa

Arsenal na manjesta huwa hapakaliki
Siyo kweli watu wanajazana jukwaa la Arsenal kwa sababu ya mdomo wenu na kuzurura kwenye majukwaa mengine mkitamba
 
#mufc statement:
“We’re taking action against a number of news organisations today, not for publishing stories we don’t like, but for doing so without contacting us first to give us the opportunity to comment, challenge or contextualise.

We believe this is an important principle to defend and we hope it can lead to a re-set in the way we work together.”
 
Kaveh Solekhol

"Apparently Ten Hag has lost the faith of around 50% of the dressing room with many of the players complaining they "do too much running" during training and "don't understand what they're running for".

Amongst other complaints were the fact Ten Hag is too set in his ways and many of the players think that the Sancho situation has gone on far beyond what is reasonable."
 
Kaveh Solekhol

"Apparently Ten Hag has lost the faith of around 50% of the dressing room with many of the players complaining they "do too much running" during training and "don't understand what they're running for".

Amongst other complaints were the fact Ten Hag is too set in his ways and many of the players think that the Sancho situation has gone on far beyond what is reasonable."
huyu kweli anastahili ban. namna alivyoleta ripoti yake inamchafua sana kocha.
 
Mashabiki wana kama homa za msimu. Wakishinda wanasahau yote, wanaanza na usumbufu.

Wakishapoteana sasa ndo wanaanza kutafutana wenyewe kwa wenyewe.
 
Kaveh Solekhol

"Apparently Ten Hag has lost the faith of around 50% of the dressing room with many of the players complaining they "do too much running" during training and "don't understand what they're running for".

Amongst other complaints were the fact Ten Hag is too set in his ways and many of the players think that the Sancho situation has gone on far beyond what is reasonable."
Bado hamjasema
20231203_133519.jpg
 
Chelsea ikiwa na msimu mbaya uwezi kuona watu wakienda kuchangia kule jukwaa lina baki kimya.

Liverpool ikiwa na msimu mbaya uwezi kuona watu wakienda kuchangia kule.

Arsenal imepitia misimu mibaya lakini jukwaa lao lilikosa wachangiaji kabisa.

lakini ni tofauti na man u hata tuwe na misimu mibaya kaisi gani uji kuona jukwaa letu limekosa wachangiaji.

Unajua ni kwanini sababu ili timu yoyote ipate attention lazima ijibishane na man u tu.

pasipo man u ligi ya EPL inaweza kufa pamoja na man u kufanya vibaya toka Ferguson aondoke ili jukwaa alijawai kupoa sababu man u ni nembo ya soka kwa England na dunia nzima.

GGMUView attachment 2833546
Sasa subiri leo tuwabomoe ninyi Manundu FC goli za kutosha ,mtaukimbia huu uzi wenu na hamtaleta pua zenu tena humu , huu uzi tunauteka
 
Back
Top Bottom