Huo mkeka umechanika muda mrefu. Pole sana mkuu.Leo ni siku ya burudani kubwa vikosi vya mabwanyenye wawili vinakutana hapa, kati ya bwanyenye glazer na bwanyenye tody ni raha tupu wakubwa
Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha
my prediction
Manchester United 3 vs Chelsea 1
GGMU
vikosi vya mabwanyenye hivi hapa.View attachment 2835053
Nimependa pressing ya leoIngawa ninaangalia kwa kuchungulia at least leo tunapiga walau pasi zinaenda,pressing inafanya kazi, ila finishing ndio tatizo lililoshindikana
Sisi HATUELEWEKI FC, bora utulie brotherWeek ijayo mnakuja Anfield
Nikiwakosa sana sana sana ni 3-0
Nyie wapumbavu tu,team hamna
Timu yetu bado asee. Leo tulikuwa tunashinda nyingi. Kule mbele bado sana.Ingawa tumepata points 3 ila Man Utd tuna shida sana ya kutumia nafasi za wazi tunazopata ndio maana mpaka leo bado tuna GD 0, kwa nafasi tulizopata Chelsea alikua anakufa sio chini ya goli 4.
Japo tumeshinda ila mpaka kipenga cha mwisho kinapulizwa mashabiki tulikuwa roho mkononi.
ETH ni genius.Timu yetu bado asee. Leo tulikuwa tunashinda nyingi. Kule mbele bado sana.
Ni kama dalot mimi namuonaga ni stricker kabisaa wakucheza ata namba 9 ukoTeh teh teh
Kwanini tominay anacheza 6 aisee yule ni 10 kabisa![]()
Hahahaa usiogope Jombaa tutakaa sawa tu. Sijawahi kushuhudia kocha anafanya kazi ktk mazingira yenye vita nyingi sana kuanzia waandishi wa habari, baadhi ya wachezaji na mashabiki wa timu pinzani na ndani kama Ten Hag.Ingawa ninaangalia kwa kuchungulia at least leo tunapiga walau pasi zinaenda,pressing inafanya kazi, ila finishing ndio tatizo lililoshindikana