999 chatta
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 874
- 1,627
Ule mgoli WA Jana wa King Kai, Hodjuland hata kwa dawa hafungi pale






Leteni website ya kuangalia live.
Na kakosa penati juuNi wakati sasa wa BRUNO kupumzishwa kwenye 1st eleven kama alivyopumzishwa MAGUIRE mpaka akapandisha kiwango. Ile mechi ya UEFA iliniuma sana alivyofanya faulo mbili za kijinga karibu na goli na zote zikazaa magoli.
chelseeeee ni mibovu inakosa magori ya wazi tu ila huyu mkimbizi wa ukraine ni takataka kabisaTunavimbiwa mpaka na Chelchit
ajabu had onana anafanya save kwenye mipira ambayo kila siku wanamdobekaLeo angalau tunacheza
Huo mkeka umechanika muda mrefu. Pole sana mkuu.Leo ni siku ya burudani kubwa vikosi vya mabwanyenye wawili vinakutana hapa, kati ya bwanyenye glazer na bwanyenye tody ni raha tupu wakubwa
Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha
my prediction
Manchester United 3 vs Chelsea 1
GGMU
vikosi vya mabwanyenye hivi hapa.View attachment 2835053