Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Chelsea tumeanzisha kampeni yetu ya KIMBIZA MWIZI ambayo inakwenda kuanza leo 6 Desemba kwenye mechi dhidi ya Red devil wa mchongo kila anayekuja mbele yetu sisi tunalala nae hata kama ana ukimwi.

Matokeo ni mawili tuu Chelsea kushinda au mpinzani kushindwa.
 
Leo ni siku ya burudani kubwa vikosi vya mabwanyenye wawili vinakutana hapa, kati ya bwanyenye glazer na bwanyenye tody ni raha tupu wakubwa

Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha

my prediction

Manchester United 3 vs Chelsea 1


GGMU

vikosi vya mabwanyenye hivi hapa.
Screenshot_20231206-211917.jpg
 
Ni wakati sasa wa BRUNO kupumzishwa kwenye 1st eleven kama alivyopumzishwa MAGUIRE mpaka akapandisha kiwango. Ile mechi ya UEFA iliniuma sana alivyofanya faulo mbili za kijinga karibu na goli na zote zikazaa magoli.
 
Leo ni siku ya burudani kubwa vikosi vya mabwanyenye wawili vinakutana hapa, kati ya bwanyenye glazer na bwanyenye tody ni raha tupu wakubwa

Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha

my prediction

Manchester United 3 vs Chelsea 1


GGMU

vikosi vya mabwanyenye hivi hapa.View attachment 2835053
Huo mkeka umechanika muda mrefu. Pole sana mkuu.
the blues
 
Back
Top Bottom