Chelsea ikiwa na msimu mbaya uwezi kuona watu wakienda kuchangia kule jukwaa lina baki kimya.
Liverpool ikiwa na msimu mbaya uwezi kuona watu wakienda kuchangia kule.
Arsenal imepitia misimu mibaya lakini jukwaa lao lilikosa wachangiaji kabisa.
lakini ni tofauti na man u hata tuwe na misimu mibaya kaisi gani uji kuona jukwaa letu limekosa wachangiaji.
Unajua ni kwanini sababu ili timu yoyote ipate attention lazima ijibishane na man u tu.
pasipo man u ligi ya EPL inaweza kufa pamoja na man u kufanya vibaya toka Ferguson aondoke ili jukwaa alijawai kupoa sababu man u ni nembo ya soka kwa England na dunia nzima.
GGMU
View attachment 2833546