Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ni bora usisajili kabisa kuliko kusajili mchezaji asiye sahihi.
Hii kauli sijui aliizungumza nani.

Umesahau kama casemiro kanunuliwa kwa euro millioni 70 ili awe namba 6.

Msimu huu amesajiliwa mount awe namba 8 kwa 55 million pounds.

Left back alimsajili malacia
Tumeshakubali kuwa kwenye sajili hayupo vizuri pia ukiachana na hiyo management haina watu wa mpira
 
Standard yetu ya kiuchezaji imeshuka sana, walipotuona hatuna madhara hawa jamaa kuanzia dakika ya 25 wakaamua kwenda jino kwa jino dhidi yetu.

Walipocheza na liverpool muda wote walikuwa nyuma.

Tuna timu ya kucheza EUROPA na CONFERENCE LEAGUE.

Tusipumbazane
Umeangalia mpira??? Naona umeongea kinyume. Ya Liverpool umeyakweka Man U na ya Man U umeyaweka Liverpool. D A E M U S H I N
 
Umeangalia mpira??? Naona umeongea kinyume. Ya Liverpool umeyakweka Man U na ya Man U umeyaweka Liverpool. D A E M U S H I N
Nimeangalia walipocheza dhidi ya liverpool.
Screenshot_20231112-105949_Google.jpg

Nimeangalia pia mechi ya jana,
Screenshot_20231112-105903_Google.jpg
 
Amenifanya nimekuwa shabik wa getafe kila ninapomuona nikikumbuka tumebaki na antony😃😃😃ni huzuni kwel kwel
Nadhani baada ya hii break ya international matches Amad atakuwa amerudi, tutakuwa na choices za kutosha ule upande, Pellistri, Amad, Antony, Rashford (Ikitokea kama jana).

Point 3 za jana zilikuwa muhimu sana, Brighton na Aston Villa yoyote akidondosha point leo itakuwa vizuri sana.
 
Nadhani baada ya hii break ya international matches Amad atakuwa amerudi, tutakuwa na choices za kutosha ule upande, Pellistri, Amad, Antony, Rashford (Ikitokea kama jana).

Point 3 za jana zilikuwa muhimu sana, Brighton na Aston Villa yoyote akidondosha point leo itakuwa vizuri sana.
Tatizo ten Hag hawezi kukubali kumuacha kipenzi chake nje
 
Back
Top Bottom