Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,413
- 27,291
Tumeshakubali kuwa kwenye sajili hayupo vizuri pia ukiachana na hiyo management haina watu wa mpiraNi bora usisajili kabisa kuliko kusajili mchezaji asiye sahihi.
Hii kauli sijui aliizungumza nani.
Umesahau kama casemiro kanunuliwa kwa euro millioni 70 ili awe namba 6.
Msimu huu amesajiliwa mount awe namba 8 kwa 55 million pounds.
Left back alimsajili malacia
