D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
Ameshapoteza pambano la dressing room tokea asubuhi.Bado hajafukuzwa tu ?
Sidhani kama ataweza kubadili hali, nimezungumza kwa uzoefu wangu.
Ameshapoteza pambano la dressing room tokea asubuhi.Bado hajafukuzwa tu ?
Huenda Chrismass atailia NetherlandsAmeshapoteza pambano la dressing room tokea asubuhi.
Sidhani kama ataweza kubadili hali, nimezungumza kwa uzoefu wangu.
Na yeye naona anasubiri barua ya kuacha hiyo kazi maana ni kama imekuwa nzito sana kwakeAmeshapoteza pambano la dressing room tokea asubuhi.
Sidhani kama ataweza kubadili hali, nimezungumza kwa uzoefu wangu.
Anakula zake 350k p/w wasiwasi wa nini timu lenyewe bovu?Miezi minne nyuma baada ya kununua mashambuliaji, wanalazimika kurudi sokoni tena kumtafuta mashambuliaji
Nawazungumzia nyumbu, vichaa fc
Miezi 6 mbele watalazimika kurudi sokoni kutafuta kipa, kwasababu kipa wa Sasa alienunuliwa miezi sita nyuma wamegundua sio kipa ni Pazia
Kuna Antony, mount,
hamis77 alishaongea Sana Tena kwa facts
Sancho yeye ndio kaamua kuizila/kuisusia hii team
Anakula zake 350k p/w wasiwasi wa nini timu lenyewe bovu?
Rashid Makame nae soon atapata kitambi maana 450k p/w sio haba
Martial ndo kabisa, anakula zake pensheni hadi mkataba uishe
#Jijiemyu
Kuna mount hamis77 anamuita mfanyakazi hewaAnakula zake 350k p/w wasiwasi wa nini timu lenyewe bovu?
Rashid Makame nae soon atapata kitambi maana 450k p/w sio haba
Martial ndo kabisa, anakula zake pensheni hadi mkataba uishe
#Jijiemyu
Alishatimiza vigezo vya kufukuzwa ,Huenda Chrismass atailia Netherlands
Ten hag akiondoka itakua simanzi Sana aiseeAlishatimiza vigezo vya kufukuzwa ,
Kwasasa sisi wapinzan tunaomba apewe mkataba mrefu zaidi


Ni suala la muda tuAlishatimiza vigezo vya kufukuzwa ,
Kwasasa sisi wapinzan tunaomba apewe mkataba mrefu zaidi
😀😀Ten hag akiondoka itakua simanzi Sana aisee![]()
Ahaaaa huwa nikikumbuka comments za Ronaldo na Mourinho, naamini Nyumbu wana miaka 20 kurudi angalau kugombea ubingwa...Mvunjieni mkataba mpeni chake
Kocha ataekuja na falsafa zake wachezaji wafuatao hawahitaji; Antony, Onana, hojlund, mount,
Option itakua ni kuuza kwa hasara
Mtaenda sokoni Tena kununua wachezaji kwa bei ya kupigwa
Miezi 6 mbele mtagundua baba ubaya ten hag na huyu mliemleta tofauti yao ni vichwa tu
.
Mateso yanazunguka katika duara hilo
Umri wake bado ni mdogo.Ndo kwaanzaa Chidi ana miaka 20. Bado ana potential kubwa, mengi ya kujifunza pia.Mpeni nafasi, acheni pupa.Ni kama tulikua pungufu tu jana rashford alikua ball boy huku martial akiwa kibendela
Eti rashford ana potential kubwa we all saw him last season![]()
Mourinho hanaga mbambambaAhaaaa huwa nikikumbuka comments za Ronaldo na Mourinho, naamini Nyumbu wana miaka 20 kurudi angalau kugombea ubingwa...
Sioni wakiwa na Project yeyote ya maana.
Allypipi ana nguvu sana na ndo mshabiki wa kweli wa Manunu maana ana matumaini ya aiabu kwlikwli....ila Flano bahari imechafuka kidogo tyri kala Kona🤠🤠🤠....tunamtaka humu vipindi vyte....furaha au huzuni awepoTen hag ni kocha ambae bado tunamuhitaji Sana EPL
Tuachane na kelele za jf, mashabiki wengi huko duniani Wala hawana noma nae
Flano utamuona jioni au usikuAllypipi ana nguvu sana na ndo mshabiki wa kweli wa Manunu maana ana matumaini ya aiabu kwlikwli....ila Flano bahari imechafuka kidogo tyri kala Kona....tunamtaka humu vipindi vyte....furaha au huzuni awepo