Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Miezi minne nyuma baada ya kununua mashambuliaji, wanalazimika kurudi sokoni tena kumtafuta mashambuliaji
Nawazungumzia nyumbu, vichaa fc

Miezi 6 mbele watalazimika kurudi sokoni kutafuta kipa, kwasababu kipa wa Sasa alienunuliwa miezi sita nyuma wamegundua sio kipa ni Pazia

Kuna Antony, mount,
hamis77 alishaongea Sana Tena kwa facts

Sancho yeye ndio kaamua kuizila/kuisusia hii team
Anakula zake 350k p/w wasiwasi wa nini timu lenyewe bovu?

Rashid Makame nae soon atapata kitambi maana 450k p/w sio haba

Martial ndo kabisa, anakula zake pensheni hadi mkataba uishe

#Jijiemyu
 
Anakula zake 350k p/w wasiwasi wa nini timu lenyewe bovu?

Rashid Makame nae soon atapata kitambi maana 450k p/w sio haba

Martial ndo kabisa, anakula zake pensheni hadi mkataba uishe

#Jijiemyu

IMG_9293.jpg

Ndo kwnza yupo mtaan na £280K mclaren, sio shida zake
 
Ten hag ni kocha ambae bado tunamuhitaji Sana EPL

Tuachane na kelele za jf, mashabiki wengi huko duniani Wala hawana noma nae
 
Mvunjieni mkataba mpeni chake

Kocha ataekuja na falsafa zake wachezaji wafuatao hawahitaji; Antony, Onana, hojlund, mount,
Option itakua ni kuuza kwa hasara

Mtaenda sokoni Tena kununua wachezaji kwa bei ya kupigwa

Miezi 6 mbele mtagundua baba ubaya ten hag na huyu mliemleta tofauti yao ni vichwa tu
.

Mateso yanazunguka katika duara hilo
Ahaaaa huwa nikikumbuka comments za Ronaldo na Mourinho, naamini Nyumbu wana miaka 20 kurudi angalau kugombea ubingwa...

Sioni wakiwa na Project yeyote ya maana.
 
Ni kama tulikua pungufu tu jana rashford alikua ball boy huku martial akiwa kibendela
Eti rashford ana potential kubwa we all saw him last season
Umri wake bado ni mdogo.Ndo kwaanzaa Chidi ana miaka 20. Bado ana potential kubwa, mengi ya kujifunza pia.Mpeni nafasi, acheni pupa.

Kuhusu (7+3)HAG, huyu aaongezewe mkataba mapema kabla Real Madrid, Bayern na PSG hawajambeba.

Mimi nawakumbusha kuwa mnatakiwa kuwapa Monaco £ 7.2 millions kama ads on, endapo Martial atashinda ballon d'Or
 
Ahaaaa huwa nikikumbuka comments za Ronaldo na Mourinho, naamini Nyumbu wana miaka 20 kurudi angalau kugombea ubingwa...

Sioni wakiwa na Project yeyote ya maana.
Mourinho hanaga mbambamba

Cr7 akaja kupiga kwenye mshono
 
Ten hag ni kocha ambae bado tunamuhitaji Sana EPL

Tuachane na kelele za jf, mashabiki wengi huko duniani Wala hawana noma nae
Allypipi ana nguvu sana na ndo mshabiki wa kweli wa Manunu maana ana matumaini ya aiabu kwlikwli....ila Flano bahari imechafuka kidogo tyri kala Kona🤠🤠🤠....tunamtaka humu vipindi vyte....furaha au huzuni awepo
 
Allypipi ana nguvu sana na ndo mshabiki wa kweli wa Manunu maana ana matumaini ya aiabu kwlikwli....ila Flano bahari imechafuka kidogo tyri kala Kona....tunamtaka humu vipindi vyte....furaha au huzuni awepo
Flano utamuona jioni au usiku
Jamaa atakua mlinzi somewhere

Allypipi yeye ameamua kujitoa ufahamu mazima
 
Back
Top Bottom