BJB FC
JF-Expert Member
- Aug 25, 2015
- 2,193
- 2,543
Umri wake bado ni mdogo.Ndo kwaanzaa Chidi ana miaka 20. Bado ana potential kubwa, mengi ya kujifunza pia.Mpeni nafasi, acheni pupa.Ni kama tulikua pungufu tu jana rashford alikua ball boy huku martial akiwa kibendela
Eti rashford ana potential kubwa we all saw him last season![]()
Kuhusu (7+3)HAG, huyu aaongezewe mkataba mapema kabla Real Madrid, Bayern na PSG hawajambeba.
Mimi nawakumbusha kuwa mnatakiwa kuwapa Monaco £ 7.2 millions kama ads on, endapo Martial atashinda ballon d'Or


asenye nao ni wapinzani 