Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Umeshafungwa mechi 10 hata msimu haujafika, bado unaenda na line up hiyo hiyo kwa plan hiyo hiyo.
What a twat
 
Miezi minne nyuma baada ya kununua mashambuliaji, wanalazimika kurudi sokoni tena kumtafuta mashambuliaji
Nawazungumzia nyumbu, vichaa fc

Miezi 6 mbele watalazimika kurudi sokoni kutafuta kipa, kwasababu kipa wa Sasa alienunuliwa miezi sita nyuma wamegundua sio kipa ni Pazia

Kuna Antony, mount,
hamis77 alishaongea Sana Tena kwa facts

Sancho yeye ndio kaamua kuizila/kuisusia hii team
Anakula zake 350k p/w wasiwasi wa nini timu lenyewe bovu?

Rashid Makame nae soon atapata kitambi maana 450k p/w sio haba

Martial ndo kabisa, anakula zake pensheni hadi mkataba uishe

#Jijiemyu
 
Anakula zake 350k p/w wasiwasi wa nini timu lenyewe bovu?

Rashid Makame nae soon atapata kitambi maana 450k p/w sio haba

Martial ndo kabisa, anakula zake pensheni hadi mkataba uishe

#Jijiemyu

IMG_9293.jpg

Ndo kwnza yupo mtaan na £280K mclaren, sio shida zake
 
Ten hag ni kocha ambae bado tunamuhitaji Sana EPL

Tuachane na kelele za jf, mashabiki wengi huko duniani Wala hawana noma nae
 
Mvunjieni mkataba mpeni chake

Kocha ataekuja na falsafa zake wachezaji wafuatao hawahitaji; Antony, Onana, hojlund, mount,
Option itakua ni kuuza kwa hasara

Mtaenda sokoni Tena kununua wachezaji kwa bei ya kupigwa

Miezi 6 mbele mtagundua baba ubaya ten hag na huyu mliemleta tofauti yao ni vichwa tu
.

Mateso yanazunguka katika duara hilo
Ahaaaa huwa nikikumbuka comments za Ronaldo na Mourinho, naamini Nyumbu wana miaka 20 kurudi angalau kugombea ubingwa...

Sioni wakiwa na Project yeyote ya maana.
 
Back
Top Bottom