Tunawa zoom tuView attachment 2831432
asenyo ni azam ya ulayaNina uhakika 100% Arsenal hambebi EPL. In the long run Arteta ni kilaza tu.Tunawa zoom tuView attachment 2831432
Punguza makasiriko. Hapa unyumbuni c umeshafunga vilago vyako mzeeNina uhakika 100% Arsenal hambebi EPL. In the long run Arteta ni kilaza tu.
Nafurahi kuona Arsenyani wakiteseka tu.Punguza makasiriko. Hapa unyumbuni c umeshafunga vilago vyako mzee
Basi unamiaka 7 mbele ya kukosa furahaNafurahi kuona Arsenyani wakiteseka tu.

jinsi venye barobaro boys wanaenda kutupa burudani moto moto.


Ni ngumu sana kushinda. Na mchawi wetu mkubwa ni ETH. Newcastle wanakimbiza sana haitakiwi kwa njia yoyote mvivu Martial acheze hii mechi tena anaanza!. Forward mvivu hawezi kumbana kipa asichezee mpira jinga kabisa hili.kikosi Cha bwanyenye glazer kinashuka leo ni sisi au wao pata chimbika bila jembe leo.
Aaaaaah ni raha tupu wakubwajinsi venye barobaro boys wanaenda kutupa burudani moto moto.
Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha
my prediction
Newcastle 1 VS Manchester United 3View attachment 2831722