D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,636
- 121,032
Bolton wanderers wanavaa jezi nyekundu?
Ivi mwarabu atapewa kweli hii timu
Ukimwekea Gordon Lindelof risk ni kubwa sana mkuu, pamoja na ubovu naona abaki tu kumpunguza Gordon kidogo asitembee sana.1st half Man of the Match, MAGUIRE hili jamaa linakaba bana.
Wan Bissaka mbovu sana leo. Toa Bissaka weka beki mtulivu mwenye akili kunwa LINDELOF.
Toa Masho weka Hujlund toa Rashford weka Anthony. Kushoto Garnacho kulia Anthony hapa tutawapiga counter attack za hatari.
Waswahili bana kwa ujuajiujuaji1st half Man of the Match, MAGUIRE hili jamaa linakaba bana.
Wan Bissaka mbovu sana leo. Toa Bissaka weka beki mtulivu mwenye akili kunwa LINDELOF.
Toa Masho weka Hujlund toa Rashford weka Anthony. Kushoto Garnacho kulia Anthony hapa tutawapiga counter attack za hatari.
Man u mbovu kinyamaTunastahili kufungwa kwa mpira huu mbovu kupindukia.
Kumbe ujuajiujuaji wako una tija. Naona Rashford na Masho wametolewa nakuwekwa Hujlund na antony1st half Man of the Match, MAGUIRE hili jamaa linakaba bana.
Wan Bissaka mbovu sana leo. Toa Bissaka weka beki mtulivu mwenye akili kunwa LINDELOF.
Toa Masho weka Hujlund toa Rashford weka Anthony. Kushoto Garnacho kulia Anthony hapa tutawapiga counter attack za hatari.
Taarifa zenu zinavuja Sana hata za injuries,yupo jamaa mmoja anavujisha Sana ,Hadi man u walimpiga marufuku ,Lakini bado ,halafu yupo accurateKwa nini habari za manchester united zinavuja sana?
Kwa mfano tokea jioni ya leo zilishazuka tetesi za luke shaw kucheza LCB.
Jambo ambalo kwa timu nyengine ni nadra kupata taarifa zao za ndani, au labda ni mimi si mfuatiliaji wa mambo ya timu nyengine.
Labda

Wewe huna msimamo ,unahamahamaNina uhakika 100% Arsenal hambebi EPL. In the long run Arteta ni kilaza tu.