Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ivi mwarabu atapewa kweli hii timu
1st half Man of the Match, MAGUIRE hili jamaa linakaba bana.

Wan Bissaka mbovu sana leo. Toa Bissaka weka beki mtulivu mwenye akili kunwa LINDELOF.

Toa Masho weka Hujlund toa Rashford weka Anthony. Kushoto Garnacho kulia Anthony hapa tutawapiga counter attack za hatari.
Ukimwekea Gordon Lindelof risk ni kubwa sana mkuu, pamoja na ubovu naona abaki tu kumpunguza Gordon kidogo asitembee sana.
 
1st half Man of the Match, MAGUIRE hili jamaa linakaba bana.

Wan Bissaka mbovu sana leo. Toa Bissaka weka beki mtulivu mwenye akili kunwa LINDELOF.

Toa Masho weka Hujlund toa Rashford weka Anthony. Kushoto Garnacho kulia Anthony hapa tutawapiga counter attack za hatari.
Waswahili bana kwa ujuajiujuaji
 
1st half Man of the Match, MAGUIRE hili jamaa linakaba bana.

Wan Bissaka mbovu sana leo. Toa Bissaka weka beki mtulivu mwenye akili kunwa LINDELOF.

Toa Masho weka Hujlund toa Rashford weka Anthony. Kushoto Garnacho kulia Anthony hapa tutawapiga counter attack za hatari.
Kumbe ujuajiujuaji wako una tija. Naona Rashford na Masho wametolewa nakuwekwa Hujlund na antony
 
Kwa nini habari za manchester united zinavuja sana?

Kwa mfano tokea jioni ya leo zilishazuka tetesi za luke shaw kucheza LCB.

Jambo ambalo kwa timu nyengine ni nadra kupata taarifa zao za ndani, au labda ni mimi si mfuatiliaji wa mambo ya timu nyengine.

Labda
Taarifa zenu zinavuja Sana hata za injuries,yupo jamaa mmoja anavujisha Sana ,Hadi man u walimpiga marufuku ,Lakini bado ,halafu yupo accurate
 
chonde chonde ETH asifukuzwe
20231203_003010.jpg
 
Back
Top Bottom