arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
🤣🤣🤣Flano utamuona jioni au usiku
Jamaa atakua mlinzi somewhere
Allypipi yeye ameamua kujitoa ufahamu mazima
🤣🤣🤣Flano utamuona jioni au usiku
Jamaa atakua mlinzi somewhere
Allypipi yeye ameamua kujitoa ufahamu mazima
Alishatimiza vigezo vya kufukuzwa ,
Kwasasa sisi wapinzan tunaomba apewe mkataba mrefu zaidi
asenye nao ni wapinzani 

Humu kwa Nyumbu napita kuona wanavyoteseka tu.Wewe huna msimamo ,unahamahama
Mwanetu wa BrightonNyumbu mlioelemewa na mizigo karibuni Brighton: Brighton & Hove Albion F.C. (The Seagulls) | Special Thread
We mzungu uliona sub-iliyofanywa?Waswahili bana kwa ujuajiujuaji
Hili ndio la msingi sana.Tafuteni Kocha wa kueleweka
Kocha mjinga huyu, siku zote leo ndio anajua Masho ni takataka?Erik ten Hag was furious at Anthony Martial because of his attitude in the game.
The manager berated Martial, and the Frenchman arrogantly dismissed Ten Hag with hand gestures.
Acha kukariri nani kakuambia Chelsea yuko Top 10 hamis77Niliwahi sema kwa mpira wa ETH Hakuna timu ya Top 10 itakubali kufungwa au kutoa sare na manjesta
Wale top 10 wote watachukua points 3 kwa manjesta
Bado Astonvilla, Liverpool,Chelsea wanataka points 3 kila mmoja
Bora hata angembakiza WeghorstKocha mjinga huyu, siku zote leo ndio anajua Masho ni takataka?
Lakini Mount na dogo lake Haland linaitwa Hoju wanalingana takwimu EplMount alishamaliza career yake Chelsea
Manjesta kaja kula mafao tu
Ana mwaka mzima hajawahi kufunga wala ku assist goal
Na Amrabat kama nyongeza sio🤣🤣🤣...mkuu umeuaWakati arsenal tunachukua midfielder, nyie mkaona pesa yenu mtakapanye kwenye kununua hojlund, onana, mount
Nasijui mliingia wapi, mkapewa nyongeza ya amrabat kwa mkopoView attachment 2832131
"We had a better season than Arsenal" Manchester United are now 7th in the league, 9 points behind top of the table Arsenal and bottom of their champions league group.