Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

"We had a better season than Arsenal" Manchester United are now 7th in the league, 9 points behind top of the table Arsenal and bottom of their champions league group.
 
Screenshot_20231203-171240_Chrome.jpg
 
"We had a better season than Arsenal" Manchester United are now 7th in the league, 9 points behind top of the table Arsenal and bottom of their champions league group.

Nyie nao mtafurahia kumaliza juu ya Manchester tu bas.
 
Tushukuruni kwa kila jambo. Naona Mungu anatuelekeza maumivu waliyokuwa wanapitia Arsenal na Liverpool kwa kipindi cha miaka zaidi ya 20 iliyopita.

Sisi hata miaka 10 haijakamilika vizuri tumeanza kulalamika.
Tuweni na shukrani kwa kila jambo wekundu wenzangu.
 
Tushukuruni kwa kila jambo. Naona Mungu anatuelekeza maumivu waliyokuwa wanapitia Arsenal na Liverpool kwa kipindi cha miaka zaidi ya 20 iliyopita.

Sisi hata miaka 10 haijakamilika vizuri tumeanza kulalamika.
Tuweni na shukrani kwa kila jambo wekundu wenzangu.
Bado hajafukuzwa tu ?
 
Sasa hivi tunashindwa kujua kama tukasirike au tufurahie matani ya akina hamis77 na genge lake.
Huwezi kurudia kitu kile kile kila mechi ukategemea matokeo tofauti huyo mwamba anasubiri siku ya kufukuzwa tu.

Unagombana na kila mchezaji halafu unaendelea kupanga wahuni kikosini
 
Arteta mbona alizinguana na Ozil na watu waliongea lakin leo mbona hawasemi kam alikosea.
Man U kuna wachezaji wengi tu pale hawastail kuchezea wapo lazy sana hawajitumi pale ata aje kocha gan kwa wachezaji wale hatoboi.

Teh hag sio kocha mbaya sema wachezaji hana yey ameona hawabadilik haw ndio maana anaenda hvyo hvyo bila formula.
 
Arteta mbona alizinguana na Ozil na watu waliongea lakin leo mbona hawasemi kam alikosea.
Man U kuna wachezaji wengi tu pale hawastail kuchezea wapo lazy sana hawajitumi pale ata aje kocha gan kwa wachezaji wale hatoboi.

Teh hag sio kocha mbaya sema wachezaji hana yey ameona hawabadilik haw ndio maana anaenda hvyo hvyo bila formula.
Hata mimi namkubali sana Eric Ten Hag. Tatizo ni wachezaji.
 
Arteta mbona alizinguana na Ozil na watu waliongea lakin leo mbona hawasemi kam alikosea.
Man U kuna wachezaji wengi tu pale hawastail kuchezea wapo lazy sana hawajitumi pale ata aje kocha gan kwa wachezaji wale hatoboi.

Teh hag sio kocha mbaya sema wachezaji hana yey ameona hawabadilik haw ndio maana anaenda hvyo hvyo bila formula.
Mbona anachagua Sasa Kuna wachezaji kama rashford hana ubavu wakumfanya chochote
 
Back
Top Bottom