Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wakati arsenal tunachukua midfielder, nyie mkaona pesa yenu mtakapanye kwenye kununua hojlund, onana, mount

Nasijui mliingia wapi, mkapewa nyongeza ya amrabat kwa mkopo
IMG-20231107-WA0020.jpg
 
Erik ten Hag was furious at Anthony Martial because of his attitude in the game.

The manager berated Martial, and the Frenchman arrogantly dismissed Ten Hag with hand gestures.
Kocha mjinga huyu, siku zote leo ndio anajua Masho ni takataka?
 
Manyumbu hayapo fair kabisa. Nick Pope kaumia, mpira upo mbali kabisa na goli lakini bado yaliendelea kucheza tu mpaka refa kapuliza kipenga.
 
"We had a better season than Arsenal" Manchester United are now 7th in the league, 9 points behind top of the table Arsenal and bottom of their champions league group.
 
"We had a better season than Arsenal" Manchester United are now 7th in the league, 9 points behind top of the table Arsenal and bottom of their champions league group.

Nyie nao mtafurahia kumaliza juu ya Manchester tu bas.
 
Back
Top Bottom