Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,630
- 11,096
Tayari! Nipo Brighton kwasasa kwasababu siwezi kushabikia timu yoyote kwenye PL Big 6.Uwez ondoka
Hii timu ina utani sana kuanzia wamiliki mpaka wachezaji. Msimu uliopita Derby tumefunga 6 na City, 7 na Liverpool na wanaona kawaida tu.
Football ni entertainment wala huhitaji timu inayoshinda makombe kuwa shabiki. Wengi wanaona haiwezekani kuhama, mimi nimehama baada ya miaka mingi tu kiwa shabiki wa United.

