D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
Kama kocha ameamua kurudia mfumo ule ule wa mipira mirefu kwa kukwepa buildup kuanzia eneo la ulinzi, kwa nini tumemsajili Onana.
Si tungelibaki na de gea then hela ya usajili wa kipa ikatumika kwengine?
Nimeangalia highlights za Onana kwa mechi ya jana kupitia video hii, amepiga goal kick nyingi sana zisizo na ulazima ambazo hazikufikia target lengwa.
Bila ya shaka ni amri kutoka kwa mwalimu.
Huyu si onana tuliyemuona fainali, inaonekana mwalimu anategemea individual brilliance ya wachezaji ili baadhi ya mambo yake yafanikiwe.
Mpira wa leo ni family, asipokuwepo juma basi bakari acheze kama juma.
Structure, identity, pattern of playing ya timu haipaswi kubadilika kama muandamo wa mwezi wa Tanzania
View: https://x.com/MadnessFc4/status/1709322419247440101?s=20
Si tungelibaki na de gea then hela ya usajili wa kipa ikatumika kwengine?
Nimeangalia highlights za Onana kwa mechi ya jana kupitia video hii, amepiga goal kick nyingi sana zisizo na ulazima ambazo hazikufikia target lengwa.
Bila ya shaka ni amri kutoka kwa mwalimu.
Huyu si onana tuliyemuona fainali, inaonekana mwalimu anategemea individual brilliance ya wachezaji ili baadhi ya mambo yake yafanikiwe.
Mpira wa leo ni family, asipokuwepo juma basi bakari acheze kama juma.
Structure, identity, pattern of playing ya timu haipaswi kubadilika kama muandamo wa mwezi wa Tanzania
View: https://x.com/MadnessFc4/status/1709322419247440101?s=20

. Yaani katika makipa ambao waliweza kufit kwenye hii Man Utd mbovu basi alikuwa ni De Gea maana kuna mechi team inacheza vibaya ila jamaa anatoka na cleansheet, kwa huyu Onana kila shot on target ina 70% ya kuwa goli.