Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

mchezaji mbaya mwenye 30+goals kwa mwaka jana kwa team ambayo inazidiwa possession na Burnley, huyu rashford angekuwa Chelsea kuna matokeo yasingeisha yalivyo , Chelsea kafungwa Moja Bila na Astonvill na Nottingham, Chelsea kaenda 0-0 na Everton , Chelsea kafungwa 3-1 na kakosa penalt dhidi ya westham , 1-1 na Liverpool, muweke rashford kwa nafasi Chelsea anatengeneza matokeo yasingekuwa hivyo Jackson anakosa goli mpira wa kusuma hata na tumbo . Rashford ni Moja ya clinical finisher yupo team mbovu.
goli 30 za ligi ni goli 16 hizo nyengine zote za carabao na europa timu zenyewe omonia na sheriff hujui wafungaji wewe kutoka kwa rud van sahivi useme rashford clinical finisher ! sahivi ana goli ngapi ? mfungaji anakuwa kama huyu hojlund timu imepoteana nafasi hakuna ila akikutana nayo anatupia
 
Hiyo namba 4 pekee imeonesha ujinga wako ni wa kiwango gani. Kushinda mechi ya kuondolewa kabisa kwenye mashindano ni bora kuliko kushinda mechi moja ya ligi. Palace hayupo tena Carabao. Bora angeshinda ile akashindwa hii ya ligi. Pima ujinga wako kabla ya kuongea pumba. Charlz ze son conscious
Bado una sonona
Sina uwezo wa kutype paragraph yote iyo.
 
goli 30 za ligi ni goli 16 hizo nyengine zote za carabao na europa timu zenyewe omonia na sheriff hujui wafungaji wewe kutoka kwa rud van sahivi useme rashford clinical finisher ! sahivi ana goli ngapi ? mfungaji anakuwa kama huyu hojlund timu imepoteana nafasi hakuna ila akikutana nayo anatupia
huna akili kama yeye
Screenshot_20231004_005546_X.jpg
Screenshot_20231004_005552_X.jpg
 
De gea pamoja na ubovu wote wa man utd lakini last season yeye ndo alikuwa kipa mwenye clean sheet nyingi.

Inabidi mtafute kocha akaongee na mashetani mule ndani [emoji23][emoji23] hata zidane anaweza kuongea nao akishindwa mwingine baasi arudi ole guna.
 
mchezaji mbaya mwenye 30+goals kwa mwaka jana kwa team ambayo inazidiwa possession na Burnley, huyu rashford angekuwa Chelsea kuna matokeo yasingeisha yalivyo , Chelsea kafungwa Moja Bila na Astonvill na Nottingham, Chelsea kaenda 0-0 na Everton , Chelsea kafungwa 3-1 na kakosa penalt dhidi ya westham , 1-1 na Liverpool, muweke rashford kwa nafasi Chelsea anatengeneza matokeo yasingekuwa hivyo Jackson anakosa goli mpira wa kusuma hata na tumbo . Rashford ni Moja ya clinical finisher yupo team mbovu.
Clinical finisher wa mchongo sijui mapenzi na rashford au ndo huwajui clinical finishers
Screenshot_20231004_010720_X.jpg
 
Siku Onana akikutana na Salah Anfield au Haaland Ettihad.. 😂😂

Ngoja niache kuwaza ujinga!
David Gea hapa ni kama anasema come down mutherFckrr!! si mlinicheka bana? Tulieni dawa iwaingie.

Hakika lilikuwa kosa kumwondoa kikosini kipa ambaye amesha kuwa man of the match mara kibao kisa mistakes ndogongogo.
ka onana kafupi , huwa kanajirusha kama ushahidi tu ila pale hamna kipa. #BRINGBAKCDEGEA
images (39).jpeg
 
Man United na Chelsea wana point sawa kwenye Champions League msimu huu [emoji23]

Chelsea ipi inacheza Champion au vipigo vimewachanganya mpaka mnaanza kujifariji kupitia chelsea[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Nimeona watu humu wakimshukia Onana kama mwewe. Niseme tu timu yetu ina matatizo mengi sana ukimaliza kusolve tatizo hili linaibuka hili. Tulianza na beki tukaja kiungo, tumekuja staiker leo tumepata kiungo na straiker beki zimekuwa mbovu.

Kwa uwezo wa shoot stopping naweza sema De gea hakuna kipa anamfikia Duniani. Ila kuna aina ya mchezo De gea hawezi na ndio maana De gea wa utd na De gea wa timu ya taifa ya Espain ni watu wawili tofauti. Hicho ndio kilichomfanya apoteze number timu ya taifa rejea fainal za kombe la dunia kule kwa Putin.

Kuhusu Onana ni mtu asiyejua mpira pekee ndiye anamuona kipa mbaya. Onana kacheza na ajax yenye mafanikio, amecheza fainal ya europe legue 2017 dhidi ya utd, amecheza intermilan tumeona kiwango chake hadi fainal ya UEFA na tuliona jinsi city walivyoteseka siku ile. Onana anabahati mbaya ya kucheza na beki mbovu ya utd bahati mbaya zaidi wale beki wenye nafuu wanaandamwa na majeruhi.
 
Niliwaambia tokea day one kuwa ten hag hawezi kitu sasa ndio mnaelewa.

Msi blame injuries au glazers

Team tuliokuwa nayo ni the best among men.

#TenHagOut
 
Kama makocha tumebadili sana, wachezaji tumesajili sana tena wazuri.
Labda uongozi ndio tatizo???? Sijui
 
Kama kocha ameamua kurudia mfumo ule ule wa mipira mirefu kwa kukwepa buildup kuanzia eneo la ulinzi, kwa nini tumemsajili Onana.

Si tungelibaki na de gea then hela ya usajili wa kipa ikatumika kwengine?

Nimeangalia highlights za Onana kwa mechi ya jana kupitia video hii, amepiga goal kick nyingi sana zisizo na ulazima ambazo hazikufikia target lengwa.

Bila ya shaka ni amri kutoka kwa mwalimu.

Huyu si onana tuliyemuona fainali, inaonekana mwalimu anategemea individual brilliance ya wachezaji ili baadhi ya mambo yake yafanikiwe.

Mpira wa leo ni family, asipokuwepo juma basi bakari acheze kama juma.

Structure, identity, pattern of playing ya timu haipaswi kubadilika kama muandamo wa mwezi wa Tanzania


View: https://x.com/MadnessFc4/status/1709322419247440101?s=20
 
Back
Top Bottom