











| BREAKING: Manchester United have sent a scout to Lisbon to closely monitor Sporting centre-back Gonçalo Inácio over the next couple of months ahead of launching a bid in January! United are prepared to trigger his £52m release 𝐜𝐥𝐚𝐮𝐬𝐞.




Hiyo namba 4 pekee imeonesha ujinga wako ni wa kiwango gani. Kushinda mechi ya kuondolewa kabisa kwenye mashindano ni bora kuliko kushinda mechi moja ya ligi. Palace hayupo tena Carabao. Bora angeshinda ile akashindwa hii ya ligi. Pima ujinga wako kabla ya kuongea pumba. Charlz ze son consciousTRIP SHAMBA TRIP GEREJI
Unawapa credit kubwa sana Palace jinsi walivyokuwa wabapambana kupata ambacho walikuwa wamekifuata pale Old Trafford
1: Zuia kwa idadi kubwa ya wachezaji bila mpira katika 5-4-1
2: Achana na kuwa press Man United , bali mpira ukipotea rudi nyuma na funga space katikati ya uwanja waache pembeni wapige krosi
3: Ukipata mali hakuna kubutua , unawatumia Mateta kukaa nao , Ayew kutembea nao pembeni na Eze kutembea nao nyuma ya kiungo cha United
4: Mwisho Sam Johnstone fanya kazi yako golini . Easy point tatu wanarudi nazo London ( Nyie bakini kushinda mechi ya Carabao Cup )
Man United sijui unaanzia wapi ?
1: Chaos football . Hakuna utulivu , kila kitu kinafanywa haraka haraka .
2: Decision making : Sehemu ya kucheza mpira rahisi , wanaufanya mgumu . Pasi rahisi , inaongezewa ugumu
3: Casemiro , Amrabat zinachezwa rafu ambazo hazina ulazima kabisa kuwapa faida Palace pale ambapo nawataka kupumua .
NOTE
1: Kwani United wanacheza soka la namna gani ?? ETH anahitaji kujibu hili pia ( ni muda wa kutoka kwenye kichaka cha Glazers , inajulikana tatizo sugu lakini na yeye ana mzigo wake wa lawama .
2: Lile goli la Andersen utasema kafunga Zidane
3: Ila Rashford ?
4: Kafundishwa kwenye academy ya United , katikati ya wiki kapigwa chuma 3 leo kasema hampati kitu . Saves mbili nzuri ( Sam Johnstone )
5: Mechi 7 za EPL na tayari United kafungwa 4
#Ambangile
Another 3 days, another record brokenRecords broken so far this season -
- Manchester United hadn't lost 4 of the opening 7 games in PL history, until Erik Ten Hag
- Manchester United haven't had as few as 9 points from the opening 7 games since 1989, until Erik Ten Hag
- Manchester United hadn't conceded 4 goals in a CL group game in 28 years, until Erik Ten Hag.
- Manchester United hadn't conceded 3+ goals in 3 consecutive games since 1978, until Erik Ten Hag.
- Manchester United had never lost at the Tottenham Hotspur stadium, until Erik Ten Hag.
- Manchester United hadn't lost the opening two away games since 1973-74, until Erik Ten Hag.
- Manchester United hadn't conceded more than one goal in 4 consecutive league games since 1979, Until Erik Ten Hag.
- Manchester United had never conceded 2 goals in the opening 4 minutes of a PL game at Old Trafford, Until Erik Ten Hag
- Manchester United had never conceded 23 shots in one game at Old Trafford in PL history, Until Erik Ten Hag
- Brighton had never won twice in a row at Old Trafford, until Erik Ten Hag
We are 8 games into the season
Walikutukana Sana wale madalali wa sheikh JasimOnana mafuti weki
Yaani walikuja kutuletea fujo.. Nikasema ngoja nije ona kuna nn huku kwaoMmekimbia jukwaa lenu mmenda jukwaa la Arsenal kujifariji
![]()
Yan hiki kikosi hata sikielew...Kwa nn anamchezesha amrabat bek ya kushoto?kwa nn asicheze na beki 3 then amrabat asogee kati...ila kocha anajua zaidi...ngoja tuone
sasa acheze na beki 3 anaweza hata kupanga huo mfumo?? Hamna kocha hapo.