Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kipa adake vizuri Ajax, adake vizuri Inter Milan, eti aje kuwa mbovu Manchester United, hell no! Timu ni mbovu
Onana hana baya yule, ila ni wazi kwamba aina yake ya uchezaji haifit kwenye team ya kipumbavu kama hii.


Sisi mashabiki wa Man Utd ni mabingwa wa kutafuta wachezaji wa kuwatupia lawama badala ya ku address tatizo halisi la hii team, tulianza na CR7 licha ya kutufungia magoli mengi, tukaja kwa De Gea licha ya kutubeba sana pale golini tukamuacha kwaaababu za kijinga (footwork), tukaja kwa FRED (huko aliko saaahivi anakichafua sana tu) wengine wengi.


Sasahivi tumehamia kwa Onana bila kujiuliza kwanini alicheza kwa kiwango kikubwa alivyokuwa AJAX na INTER MILAN kisha aje kwetu aonekane mbovu.


Ile interview ya CR7 ilisema uozo wote pale UTD.
 
Mwishowe tumerudisha lawama kwa kipa. Ila backline yetu ni mbovu sana kwa sasa. Maana inapigwa through ball inamkuta mchezaji wa timu pinzani peke yake anagusa mpira zaidi ya mara 3 na bado hajakabwa! Hii lawama sijui ni ya coaching staffs au wachezaji husika hawafuati maelekezo ya mwalimu?

Bado nina imani na EtH kiufundi ila man management yake kwa wachezaji iko vibaya mno. Mtu kama Rashford, amekuwa na ubinafsi sana kwenye eneo la mwisho la uwanja ila daily kumsifia kuwa ni top player. Huyu jamaa ndio anaifelisha man utd kwa sasa kwa kuaminiwa kupita kiasi. Ni heri tukampanga garnacho tujue moja kuwa hana uzoefu wa kutosha kuliko hii kenge.

Ingetokea tukashinda 4-3 wala usingesikia habari za Onana ila watu tunasahau ujinga wa Rashford kwenye kufanya maamuzi ya mwisho. Mnakumbuka kauli ya Peter Drury kwamba ana spidi na physique kama Ronaldo ila ubongo wa maamuzi kama Benteke?

Bado naamini tatizo letu kama timu linachagizwa na uongozi kwa kutokuleta target first choices na kwa wakati. Tunasajili wachezaji kuziba nafasi na sio kukidhi mahitaji. Angalia usajili wa Casemiro, Amrabat,Malacia Eriksen unajua tu kocha kasajili kulingana na anayepatikana sokoni kwa wakati huo na sio chaguo lake asilia.

Anyway,bado tutajifariji kiasi maana Arsenal iliyo kileleni imepoteza kama man utd mbovu dhidi ya Lens.
 
.
20231004_002849.jpg
 
Mwishowe tumerudisha lawama kwa kipa. Ila backline yetu ni mbovu sana kwa sasa. Maana inapigwa through ball inamkuta mchezaji wa timu pinzani peke yake anagusa mpira zaidi ya mara 3 na bado hajakabwa! Hii lawama sijui ni ya coaching staffs au wachezaji husika hawafuati maelekezo ya mwalimu?

Bado nina imani na EtH kiufundi ila man management yake kwa wachezaji iko vibaya mno. Mtu kama Rashford, amekuwa na ubinafsi sana kwenye eneo la mwisho la uwanja ila daily kumsifia kuwa ni top player. Huyu jamaa ndio anaifelisha man utd kwa sasa kwa kuaminiwa kupita kiasi. Ni heri tukampanga garnacho tujue moja kuwa hana uzoefu wa kutosha kuliko hii kenge.

Ingetokea tukashinda 4-3 wala usingesikia habari za Onana ila watu tunasahau ujinga wa Rashford kwenye kufanya maamuzi ya mwisho. Mnakumbuka kauli ya Peter Drury kwamba ana spidi na physique kama Ronaldo ila ubongo wa maamuzi kama Benteke?

Bado naamini tatizo letu kama timu linachagizwa na uongozi kwa kutokuleta target first choices na kwa wakati. Tunasajili wachezaji kuziba nafasi na sio kukidhi mahitaji. Angalia usajili wa Casemiro, Amrabat,Malacia Eriksen unajua tu kocha kasajili kulingana na anayepatikana sokoni kwa wakati huo na sio chaguo lake asilia.

Anyway,bado tutajifariji kiasi maana Arsenal iliyo kileleni imepoteza kama man utd mbovu dhidi ya Lens.

 
Onana hana baya yule, ila ni wazi kwamba aina yake ya uchezaji haifit kwenye team ya kipumbavu kama hii.


Sisi mashabiki wa Man Utd ni mabingwa wa kutafuta wachezaji wa kuwatupia lawama badala ya ku address tatizo halisi la hii team, tulianza na CR7 licha ya kutufungia magoli mengi, tukaja kwa De Gea licha ya kutubeba sana pale golini tukamuacha kwaaababu za kijinga (footwork), tukaja kwa FRED (huko aliko saaahivi anakichafua sana tu) wengine wengi.


Sasahivi tumehamia kwa Onana bila kujiuliza kwanini alicheza kwa kiwango kikubwa alivyokuwa AJAX na INTER MILAN kisha aje kwetu aonekane mbovu.


Ile interview ya CR7 ilisema uozo wote pale UTD.

 
Kivumbi mwaka huu, ni mwendo wa kula chuma tu.
10 Hag kamatia hapo hapo mpaka uhakikishe hii mali ya urithi inapigwa mnada.
Mwarabu kamhakikishia Baba Ubaya £100m akifanikiwa kwenye juhudi zake za matokeo ya uwanjani zitakozopelekea mashabiki kushinikiza timu yao iuzwe.
Kongole zako Baba Ubaya hakika unaupiga mwingi sana, sisi waarabu wa Qatar tunaziona juhudi zako.
tapatalk_-830774856_677x509.jpg
 
Manjesta Sisi Wachambuzi nguli Tunapata Tabu Sana Kuichambua Maana Haieleweki Inacheza Mfumo Gani

Manjesta Haina Mfumo Maalum Ukiwa Unaangalia Mechi Zao Huon Pattern Za Uchezaj Huon Movement Huoni Timu Ikiwa Inajenga Shambuliz Inakaa Kwenye Umbo Gani Yaani Bora Liende.


Ten Hag Hana Mbini

DataMob wamefanya analysis Jinsi timu zinavyocheza wanasema. Manjesta it's like haina kocha

🟠 Arsenal : Elite at keeping the ball and defending
City : Elite at keeping the ball, defending and attacking
Liverpool : Elite at attacking and putting the ball in the back of the net
🟢 Tottenham : Elite at pressing and attacking

The only thing Manchester United is elite (85+ percentile) at is counter-attacks, which seems more reflective of the personnel than the manager's philosophy

datamb.football/teams


Ni Mimi mchambuzi wenu nguli mwenye leseni ya FIFA daraja A niliyoipata pale Zurich Uswis mwaka 2019
 
Manjesta Sisi Wachambuzi nguli Tunapata Tabu Sana Kuichambua Maana Haieleweki Inacheza Mfumo Gani

Manjesta Haina Mfumo Maalum Ukiwa Unaangalia Mechi Zao Huon Pattern Za Uchezaj Huon Movement Huoni Timu Ikiwa Inajenga Shambuliz Inakaa Kwenye Umbo Gani Yaani Bora Liende.


Ten Hag Hana Mbini

DataMob wamefanya analysis Jinsi timu zinavyocheza wanasema. Manjesta it's like haina kocha

🟠 Arsenal : Elite at keeping the ball and defending
City : Elite at keeping the ball, defending and attacking
Liverpool : Elite at attacking and putting the ball in the back of the net
🟢 Tottenham : Elite at pressing and attacking

The only thing Manchester United is elite (85+ percentile) at is counter-attacks, which seems more reflective of the personnel than the manager's philosophy

datamb.football/teams


Ni Mimi mchambuzi wenu nguli mwenye leseni ya FIFA daraja A niliyoipata pale Zurich Uswis mwaka 2019
Man Utd ni kama wacheza porno tu, hatuna mfumo maalumu tunabadilisha badilisha style kutoka na shepu ya mwanamke tunaecheza nae.
Kwako mwalimu Kashasha Cha-mbuzi nguli la soka lenye leseni ya Fifa daraja A toka Zurich Uswiswi.
tapatalk_1472587482_335x459.jpg
 
Ukiondoa pasi mbovu ya Onana iliyopelekea penalty sijaona ni kwa namna gani goalkeeper mwingine angeweza kuokoa hayo magoli waliyofungwa.



Kifupi united hakuna mabeki na kocha pia haeleweki anacheza mfumo gani.
Onana analaumiwa tuu , defence ya timu ni mbovu , inajulikana wazi kama adui anapata chance to make a shot with in 12 yards chance ya kufunga ni 80% hata kama velocity ya Mpira ni 30km/hr, hyo inatokana na distance iliyopo na uwezekano wa kipa kufanya reaction sahihi unakuwa ni mdogo...Kwa distance hyo Kwa striker kufunga ni wajibu na kipa kusave tunaita incredible save means sio rahs, labda kama jamaa apige kumlenga kipa
 
Onana nimzur kwamodern football sio kwahii papatupapatu ya man u, huyu angekuja kucheza pira gamondi tungempenda sana ten hag kaja kumuaibisha dogo
Pira Gamondi si la papatu papatu teh teh.
 
Onana nimzur kwamodern football sio kwahii papatupapatu ya man u, huyu angekuja kucheza pira gamondi tungempenda sana ten hag kaja kumuaibisha dogo
Nilisema hiki kitu humu record zipo

Niliandamwa Sana nilitukanwa Sana

Kwasasa nimeanza kupata wafuasi wanaoamini pia Ten hag Ni average coach


Hii campaign nimeianza mwaka Jana


Ukweli huwa unachelewa tu
 
Back
Top Bottom