Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Poleni wenzangu munaopeteza maokoto kwa kuiangalia hii timu.
Me nitarudi tena pale timu itakapo kua vizuri.

Nangoja timu atapo kabidhiwa mwarabu na huyo kipara ngoto atakapo fukuzwa.

Nb. Kipara ngoto namhukumu kwa sajili zake, sio kiwango chake.

Anajua kufundisha lakini hajui kusajili.
Huu ndio ushabiki maandazi Sasa

Kitoabu Rudi nyumbani kuipambania timu, na sio kujificha
Big up kwa allypipi ataleta utabiri wa kishujaa ata Kama anajua meli hii inazama
 
Kikosi Cha watoto wa bwanyenye glazer barobaro boys kinashuka leo kutoa ngarambe safiwatapata tabu sana wale galatasaray

My prediction

Manchester United 4 vs Galatasaray 0

10:00 usiku

Old Trafford a.k.a matofali ya kuchoma

Hivi nyie galatasaray tunawauliza mna uhakika na mnachocheza nacho leo?

Aaaah hakika kitawaramba

Unasema Galatasaray itapiga United na ukiambiwa uchukue 100k uwekee na odd ya 7.50 hutaki mbafaku

GGMU
20231002_114151.jpg
 
Zlatan : ahoji uwezo wa 7hag

Ibrahimović on Ten Hag: “What is the experience of this coach? Young talents then he comes to United… Man United is different mentality, different players”.

“You come to United, you do the same thing”, Zlatan told

@PiersUncensored.
 
Friend of Galatasaray

Kikosi kinachoanza nishakinasa

Galatasaray lineup

: Muslera, Boey, Davinson, Abdülkerim, Angelino, Kaan, Torreira, Kerem Aktürkoğlu, Tete, Zaha ,Icardi…
 
Yan hiki kikosi hata sikielew...Kwa nn anamchezesha amrabat bek ya kushoto?kwa nn asicheze na beki 3 then amrabat asogee kati...ila kocha anajua zaidi...ngoja tuone
 
Yan hiki kikosi hata sikielew...Kwa nn anamchezesha amrabat bek ya kushoto?kwa nn asicheze na beki 3 then amrabat asogee kati...ila kocha anajua zaidi...ngoja tuone
Akicheza na mabeki watatu mtakufa nyingi

Hamna quality ya kucheza na mabeki watatu pale nyuma
 
Back
Top Bottom