mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,226
Huu ndio ushabiki maandazi SasaPoleni wenzangu munaopeteza maokoto kwa kuiangalia hii timu.
Me nitarudi tena pale timu itakapo kua vizuri.
Nangoja timu atapo kabidhiwa mwarabu na huyo kipara ngoto atakapo fukuzwa.
Nb. Kipara ngoto namhukumu kwa sajili zake, sio kiwango chake.
Anajua kufundisha lakini hajui kusajili.
Kitoabu Rudi nyumbani kuipambania timu, na sio kujificha
Big up kwa allypipi ataleta utabiri wa kishujaa ata Kama anajua meli hii inazama

watapata tabu sana wale galatasaray
10:00 usiku
Old Trafford a.k.a matofali ya kuchoma

Ibrahimović on Ten Hag: “What is the experience of this coach? Young talents then he comes to United… Man United is different mentality, different players”.